Benjamin Mkapa on BBC HardTalk (Video)


na nyerere aliweza
 
Kwa sasa kuna mtu mmoja yupo hapo KENYA mana ndie rais ambae naamin kwa AFRICA anaweza kujieleza katika public kuliko yoyote yule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninacho jua hakuna mwanadamu aliye mkamilifu lakini ukweli nikwamba ukiondoa Mwalimu Nyerere mkapa ni raisi anayefuata kwa hotuba zenye mvuto na za kujenga hoja. Ni katika kipindi chake ambapo hali ya uchumi ilimarika hata tukaaza kulipa madeni ambayo yalikuwa hayalipiki. Ndipo uimarishaji wa shule za msingi na ukarabati wake ulifanyika, ni katika kipindichake ambapo barabara nyingi ziliaza kujengwa. Kwa watu wa mikoa ya kusini tatizo la kutengwa na sehemu nyingine ya nchi liliisha maana daraja kubwa kwenye mto rufiji(Mkapa bridge) lili jengwa. Tuseme nini kuhusu uwanja wa Taifa na ukumbi wa kisasa wa Bunge? Vipi kuhusu mfumko wa bei ambapo kwa muda wote wa miaka 10 hakukuwa na mabadiliko makubwa ya bei Karibu bidhaa nyingi zilibaki katika bei ileile. Yako mengi Mazuri aliyofanya japo kuwa wengi tunayaona makosa tu. Lakini pia kutokana na unyenyekevu wake alizuia kuwa yeye tusimwite " mtukufu" jina lililokuwa limezoeleka kwa rais aliye mtangulia. Pia hakutaka Picha yake kuwekwa kwenye sarafu ama noti za fedha za Tanzania. Wengine wa naweza ongeza mengine mfano hutuba zake za kutumia misemo ya wanafalsafa mbalimbali n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lisu ni wa Tatu waliotangulia ni Rais mkapa Razaro nyarandu na sasa Lisu
 
Hata mmpambe vipi lkn historia ikishaandikwa imeandikwa. Yeye ndiye rais wa kwanza nchini kufanya biashara "Clandestinely" akitokea ikulu kwa kujimilikia mgodi wa Kiwira pamoja na mkewe..!!

Yeye ndiye alikuwa kinara ktk utawala uliogubikwa na ufisadi kama wa Epa, Meremeta, Radar, Uuzaji mashirika ya umma na Nyumba za serikali kwa wapambe wake na hatutamsahau kwa kufanya Tanzania izalishe wakimbizi wa kwanza baada ya mauaji ya Zanzibar ya 2001. Ana "Legacy" mbovu sana huyu bwana.
 
Nina mashaka na wewe kuwa hujui kiingereza Kama bwana wenu mwenyekiti
 
Reactions: Qwy
Nimeinyaka video ya mahojiano (mwaka 2001) kati ya Mhe. Mkapa na kile kipindi cha BBC HardTalk.

Kweli hii ilikuwa "HardTalk" kwani jamaa walimbana acha.

Waweza kuitazama kupitia link hii:


Compare to Lissu"s interview
 

Huu upuuzi wako hata ukijadiliana na mkeo atakuona fala


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…