Benifica vs Chelsea

Benifica vs Chelsea

unajua mnakera sana mnaojifanya na kutamani kila mtu awe mchambuzi wa mpira,,,,,,! wapo ambao wako bize na kazi zao wanachojua ni muda gani game wanaenda kushangalia timu yao,,,,,sasa basi nyie vielele[mtu kaona mpira alafu umwadisia haipendezi mnaudhai sana! usidhani wengine hatujui tunanyamaza kumshika hekima! QUOTE=Mourinho;6359469]Unazi uko wapi hapo au unakurupuka tu kujibu ambacho hujaulizwa?

Nilikua nashangaa how comes the so called "blues fans" hawajui details ndogo kama hizo about their own team? Sasa na wewe badala ya kuwasaidia maoyaoya wenzako hao unaishia kukurupuka kama umekurupushwa usingizini.

Ona sasa umemwaga uharo hadharani!!!!
By the way sio toles it's Torres.

Jifunze kushirikisha ubongo, acha masaburi yafanye kazi yake!
[/QUOTE]

Hekima ipi hiyo kwenye kichwa kilichojaa uji dengu? Sasa kama uko busy unasubiri time ya game, nini kimekutuma uje kupost huku? Au ndio masaburi?

Nadhani nimekosea kusema shirikisha ubongo coz it's obvious huko kichwani kwako kuna uji wa dengu tu na makamasi.
 
shukuru kuongea atulipii kama tungekuwa tunaweka vocha kuongea nadhani ata hayo matusi mungeacha kuyatoa au yangewakosti kiuchumi bila sababu za msingi! sina haja ya kubishana na wewe maana unajisadifu beyond boubts!
 
kabla ya mechi wata mrusha ndege wao aina ya eagle awasalimie washabiki hebu mcheki ndege mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
No comment bado nina msongo wa mawazo wa kushushwa daraja kwa Wigan Athletics..!
 
acha uoga wewe ushindi lazima! chezea hazard weye.....!

kaka unakumbuka kile kitimu cha Hispania kimetufanye je? Man U mambo yake mwaka jana yakuwa hivyohivyo walianza Hispania wakapigwa wakaja Ureno wakatolewa. Tukutane online jioni mkuu.
 
Plastic fans haooo! Timu za ureno ni bab kubwa aisee, kama mnakumbuka Atl. Madrid wafanya nin basi msiwe mnashabikia kichwa chini miguu juu..... mtaumbuka! From the Gooner..
 
Mpira hauchezwi hapa jamvini..subirini muda utafika kesho tutakuwa wachache sana humu ndani!
Benfica walicheza na Chelsea mwaka jana hatua ya robo fainali ya UCL, matokeo yalikuwa kama ifuatavyo:

Mechi ya kwanza[Ureno]; Benfica 0, Chelsea 1 [mfungaji S. Kolou.]
Mechi ya pili[London Uingereza]; Chelsea 2, Benfica 1.

Chelsea ikasonga mbele, ikaitoa Barcelona. Ikaingia fainali ikaifunga Bayern Munich kwa mikwaju ya penati na kuchukua kombe. Timu ya kwanza kutoka jiji la London kuwahi kufanya hivyo tangu, UCL ianzishwe!🙂
 
Plastic fans haooo! Timu za ureno ni bab kubwa aisee, kama mnakumbuka Atl. Madrid wafanya nin basi msiwe mnashabikia kichwa chini miguu juu..... mtaumbuka! From the Gooner..


Atletico Madrid ni ya Ureno? Kumbe wewe mshabiki wa mabua bora hata wa plastic!!
 
Tupo pamoja the Blues!! Ni kwa nadra sana kumaliza msimu bila kupata kombe kama vibonde wa Arsenal!!
 
natamani ningekuwa na namba yako, chelse is not MAN U ati au uelewi, utashinda bila ata kusumbka!
kaka unakumbuka kile kitimu cha Hispania kimetufanye je? Man U mambo yake mwaka jana yakuwa hivyohivyo walianza Hispania wakapigwa wakaja Ureno wakatolewa. Tukutane online jioni mkuu.
 
Atletico Madrid ni ya Ureno? Kumbe wewe mshabiki wa mabua bora hata wa plastic!!

Nimetoa mfano tu mkuu, najua sana kama atl. Madrid ni ya Uhispania ila, nchi mbili hizi zinazitesa sana timu za uingereza.....kweli wee plastic mkubwa. Bora bua linaliwa na, ng'ombe
 
Nimetoa mfano tu mkuu, najua sana kama atl. Madrid ni ya Uhispania ila, nchi mbili hizi zinazitesa sana timu za uingereza.....kweli wee plastic mkubwa. Bora bua linaliwa na, ng'ombe


Tulia wewe na ushabiki wako wa kujivika!Tangu lini umekuwa mshabiki wa Benfica na Atletico Madrid kama sio wivu tu na chama kubwa la darajani!Leo tunawapigeni nyingi mpaka ujute na kiherehere chako!!
 
unajua mnakera sana mnaojifanya na kutamani kila mtu awe mchambuzi wa mpira,,,,,,! wapo ambao wako bize na kazi zao wanachojua ni muda gani game wanaenda kushangalia timu yao,,,,,sasa basi nyie vielele[mtu kaona mpira alafu umwadisia haipendezi mnaudhai sana! usidhani wengine hatujui tunanyamaza kumshika hekima! QUOTE=Mourinho;6359469]Unazi uko wapi hapo au unakurupuka tu kujibu ambacho hujaulizwa?

Nilikua nashangaa how comes the so called "blues fans" hawajui details ndogo kama hizo about their own team? Sasa na wewe badala ya kuwasaidia maoyaoya wenzako hao unaishia kukurupuka kama umekurupushwa usingizini.

Ona sasa umemwaga uharo hadharani!!!!
By the way sio toles it's Torres.

Jifunze kushirikisha ubongo, acha masaburi yafanye kazi yake!
[/QUOTE]

He is Torres OR it's Torres? mwl wa grammar msaada pls.
 
Back
Top Bottom