Mkuu hawa wigan nilikuwa nawapenda tokea walipomfunga Man u last season na kutufanya sisi man city tuwe mabingwa. Sikupenda washuke daraja kabisa lakini pia sikuwa napenda the gunners waikose nafasi ya nne.pole mkuu,lakin ww ni wigan kweli au ndio ulitaka ishinde ili arsenal iwe pagumu kucheza uefa msimu ujao.