imenisisimsha!
kwa mtaji huo watajenga by the time uchaguzi unamalizikaMimi hawa vijana wa dala dala ndio wananimaliza nguvu kabisa. Kwanza wanapeperusha bendera za Chadema,
then kada wa CCM anapita na kuwapa Tsh 20000 ili watoe za Chadema na kuweka CCM. Hapo kada wa kijani
anaridhika.. Next day vijana wanapepea Chadema, kada kijani akiuliza kulikoni... jibu malipo yalikua per Day!
! !!!.
Mimi hawa vijana wa dala dala ndio wananimaliza nguvu kabisa. Kwanza wanapeperusha bendera za Chadema,
then kada wa CCM anapita na kuwapa Tsh 20000 ili watoe za Chadema na kuweka CCM. Hapo kada wa kijani
anaridhika.. Next day vijana wanapepea Chadema, kada kijani akiuliza kulikoni... jibu malipo yalikua per Day!
! !!!.
Kutokana na hali ya kisiasa iliyopo arusha kati ya vyama viwili CHADEMA NA CCM hali imezidi kuwa mbaya kwa ccm kila kukicha, wameanza mchakato wa kununua bendera za chadema kwa gharama yeyite ile bendera moja hununuliwa kwa SH 30000 AU 20000 hiyo ndiyo bei ya chini,
ukifika arusha utazani umeingia tarime dala dala zote zina bendera za chadema na magari ya watu binafsi pamoja na barabara zote, wakati huwo ccm wao hutoa sh 20000 kwenye dala dala iliwazibandike wanaliwa hela zao ile mbaya kwani watu huweka siku moja then hutoa wakiulizwa husema walikuwa wamepaki zikaibiwa ,
juu ya hilo mgombea wa chadema kamanda kijana mpambanaji kweli kweli amesema amedhamiria kugawanya bendera zingine 3000 kwa jiji la arusha .
vijana wa arusha wasema watahakikisha lema anashinda na wapo tayari kulinda ushindi huwo kwa gharama zozote zile mpaka kieleweki wadai hata ccm waweke vifaru mbele ya kituo cha majumuisho
lazima lema atangazwe mshindi........ ccm tupa kuleeeeeee
mgombea wa CCM wa ARUSHA aaibika apigwa nyanya na matango soko kuu la ARUSHA na akina mama , wadai ni tapeli iweje aolewe zanzibar aje kutafuta ubunge arusha
Yuko wapi Nakaya aliyenunuliwa na ccm awasaidie?
Vijana wa lema wastukia vituo feki vya kupigia kura kwenye kambi za jeshi.......... waapa mabox hayo hayatatoka humo wanajeshi watapiga nayo picha dic time no kuibeba ccm kwa njia yeyote ile mpaka kieleweke
Kamanda wa CHADEMA Lema nusura alishwe sumu pale alipokuwa akipata chakula cha mchana maeneo ya police kuna pub mpya imefunguliwa pale, ila makamanda wake walipo stukia wakamwambia asile yeye wakala wao, kilichowapata wanajua wao wakapewa maziwa fresh wakatapika vilivyo, hayo ndiyo madudu ya CCM wanayo yafikiria