Bendera za CCM zimeng'olewa Arusha

Bendera za CCM zimeng'olewa Arusha

Za ccm ni za kutafuta ila chadema kila pahala
 
Magufuli atakuwa rais wa Tanzania,na mwenyekiti wa ccm taifa arusha ni sehemu ya tanzania mta obey sheria za nchi ya tanzania,otherwise hamieni kenya

Kama Kaskazini hawana haki kamili ya kikatiba kwa maana hawaruhusiwi kugombea ndani ya ccm nafasi yeyote ya kura mbali ya Ubunge ( SIO manneno Yao ) ...sidhani Kama ni sehem kamili ya Tanzania

HII notion lazima tuipige vita NCHI HII KUWA kuna Baadhi ya watu wa maeneo mbali mbali nchini Kama Sukuma ,Haya ,Nyakyusa etc hawawezi KUWA Marais itaisha tu .
 
Bendera hazipigi kura. Na siku zote mnasema ccm hakuna arusha sasa hizo bendera zilifikaje huko.Nyie tulieni watu wa kanda ya ziwa wainyooshe hii nchi. Sasa ndio mmepata mbabe mliokua mnamlilia.Huyu ni zaidi ya kagame.

we mkinga ushamba utaacha lini?
 
Magufuli atakuwa rais wa Tanzania,na mwenyekiti wa ccm taifa arusha ni sehemu ya tanzania mta obey sheria za nchi ya tanzania,otherwise hamieni kenya

Kama Kaskazini hawana haki kamili ya kikatiba kwa maana hawaruhusiwi kugombea ndani ya ccm nafasi yeyote ya kura mbali ya Ubunge ( SIO manneno Yao ) ...sidhani Kama ni sehem kamili ya Tanzania

HII notion lazima tuipige vita NCHI HII KUWA kuna Baadhi ya watu wa maeneo mbali mbali nchini Kama Sukuma ,Haya ,Nyakyusa etc hawawezi KUWA Marais itaisha tu .
 
Magufuli akipita watz tujiandae kwa utawala mbovu ambao hujawahi onekana Tanzania wala Africa mashariki
 
Za ccm ni za kutafuta ila chadema kila pahala
Hapa Dodoma Singida Morogoro, Shinyanga, Simiyu Magufuli atatafuta kura kweli
Mnajidabgabya haswaaaa
kwanini msijitenge km mna Uchungu? maana Kiongozi wa Tanzania nzima hatatoka Arusha wala Kilimanjaro labda 2025
halafu changanya kurazote hizo katika Ballot Box haziwezi tikisa Mikoa ya Ziwa kwa Magufuli
Ni kupeta tu hata aje Dr, Lowassa, Mbatia Maguu-full ndio break
 
Inatia hasira sana Mkuu! Tukutane Octoba

Matamba2000;
Umejiandikisha? Tumia silaha uliyopewa kulidondosha hili dude 25th October, 2015. Waelimishe na wengine, wasiuze kadi zao kwa wali na nyama ya tembo, ati wamekaribishwa kuwaaga jimboni, miaka 5 imepita tangu mmempeleka mjengoni hakuja hata kuwashukuru. Leo siku zake zimekwisha ndo anawakumbuka na njaa zenyu anakuja kutoa 1 ya 1000 ya zile alizojichumia mjengoni?? Ptuuuu mbaka siya. Simpi kura yangu ng'ooo. Nahakikisha nampiga chini kwa NOOOO
 
Back
Top Bottom