Bendera za CCM zimeng'olewa Arusha

Bendera za CCM zimeng'olewa Arusha

Ni kweli kabisa hata mimi nimeenda Arusha jana bendera zote zimeshatolewa wale masalia wa ccm walikuwa wamebakia arusha naona wameamua kusaliti amri wenyewe kabla operasheni FUTA DELETE CCM ARUSHA kuanza tena .

si ametoa amri zitolewe poa na sisi tutafuta zote za upinzani kanda ya ziwa tujue nani bingwa na uko atakapoamia,ili tuone wajinga kweli,rahana ya nyerere na siasa za ukabila itawamaliza,
 
Ni kweli kabisa hata mimi nimeenda Arusha jana bendera zote zimeshatolewa wale masalia wa ccm walikuwa wamebakia arusha naona wameamua kusaliti amri wenyewe kabla operasheni FUTA DELETE CCM ARUSHA kuanza tena .

Mwanzo mzuri sana arusha
 
nyie wajinga na siasa zenu za ukamda na ukabila,watu wakiwasema mnalalamika mimi mmwenyewe nakaa arusha nasikia wanayoyasema
,naomba na kanda ya ziwa zote za upinzani wazingoe tuone na ukabila wanu,
mungu anapompanga mtu kuwa rais kwake sio ukanda wala ukabila bali mtu sahihi wa kuongoza taifa,

Kama ni suala la ukanda na ukabila wanachama wa CCM Arusha wanashusha bendera za chama chao kwa kuwa jina la mtu wao waliokuwa wanamuamini limeondolewa hata kabla ya kufika kwenye tano na kwa kuwa CCM mnatukuza ukanda na ukabila ondoeni jina la Magufuli kwenye kinyang'anyiro cha urais ili wanachama wa CCM kanda ya ziwa nao waanze kung'oa bendera za chama chao,hapo watakuwa wamekwenda sambamba na wanachama wenzao wa Arusha na sera yenu ya ukanda na ukabila itakuwa imetekelezwa barabara.
 
Eenh...kwahiyo..???

hii zambi ambayo kiongozi wake ni mengi kwa siri itawatafuna mpata mwisho wao,na ndo maana wanaangaika nakutumia nguvu nyingi ili kuongoza nchi hii kwa sababu ya hiyo kansa ya ukanda.
 
kasikazini na siasa za ukanda hii dhabi itawatafuna,kumbe nyerere aliwaona mapema sana,

Wewe utapata kichaa,wachana na ccm na huyo makomeo wako njoo peponi cdm
 
lengo la mengi limetimia, naomba na wa kanda ya ziwa futeni upinzani ,tuone hawa jamaa naka nao lakini siasa zao ni ukanda ukabila wako tayari hata maiti aongoze nchi madamu anatoka kwao,
Haha...kwa vile akian maige wanaipenda sana CCM?Na wao wataipigia CCM kikanda?
 
Kama ni suala la ukanda na ukabila wanachama wa CCM Arusha wanashusha bendera za chama chao kwa kuwa jina la mtu wao waliokuwa wanamuamini limeondolewa hata kabla ya kufika kwenye tano na kwa kuwa CCM mnatukuza ukanda na ukabila ondoeni jina la Magufuli kwenye kinyang'anyiro cha urais ili wanachama wa CCM kanda ya ziwa nao waanze kung'oa bendera za chama chao,hapo watakuwa wamekwenda sambamba na wanachama wenzao wa Arusha na sera yenu ya ukanda na ukabila itakuwa imetekelezwa barabara.

wewe! sisi ndo tunaishi Arusha achilia yanayotendeka yanayosemwa ni zaidi ya kutoa bendera
na swali kwao kama mikoa yote iliyota wagombea 38, wale wote walioshidwa mikoa yao wakitoa bedera itakuwaje?,kwani arusha ndo mgombea wao pekeyake ameondoleawa.?kama sio ukanda ni nini?

ni siasa za ukanda wala sio kingine na wanasema magufuli wanamkubali lakini kwa sababu ameondoshwa lowasa basi,
hiyo kama sio ukanda ni nini?

 
hata mimi hiyo kauli ya kuwa rais hatotoka kaskazini inakera sana
 
hii zambi ambayo kiongozi wake ni mengi kwa siri itawatafuna mpata mwisho wao,na ndo maana wanaangaika nakutumia nguvu nyingi ili kuongoza nchi hii kwa sababu ya hiyo kansa ya ukanda.

Hivi unadhani yupo mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuelewa na kuamini pumba unazoandika😕😕
 
Haha...kwa vile akian maige wanaipenda sana CCM?Na wao wataipigia CCM kikanda?

mkuu mimi siko huko lakini nachokwambia ni kile ninachokiona kinafanyika haiwezekani watu wanasema wanamkubali sana magufuli lakini wanasema kwa kuwa ameondolewa mtu wao hawatani tena na wengine wakifanya hivyo nchi nzina itakuwaje?
 
Hivi unadhani yupo mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuelewa na kuamini pumba unazoandika😕😕

Unaweza ukashangilia hii dhambi lakini jua ni sumu inaenea itakapo fikaa kiwango cha kitaifa makabila makubwa ndo yataongoza nchii hii,unaweza ukashangilia kwa kuwa unafaida na hizo siasa za kijinga lakini matokeo yake ni hatari kwa taifa,
 
Si kweli mkuu, tatizo ni pale ambapo mto ndani ya CCM anasema Rais wa Tanzania hatatoka Kaskazini. Halafu huu usemi unatimia kwa njia za Hila
Kama unaongelea ile account fake ya facebook ya kumchafua Ridhiwani your wrong!
 
wewe! sisi ndo tunaishi Arusha achilia yanayotendeka yanayosemwa ni zaidi ya kutoa bendera
na swali kwao kama mikoa yote iliyota wagombea 38, wale wote walioshidwa mikoa yao wakitoa bedera itakuwaje?,kwani arusha ndo mgombea wao pekeyake ameondoleawa.?kama sio ukanda ni nini?

ni siasa za ukanda wala sio kingine na wanasema magufuli wanamkubali lakini kwa sababu ameondoshwa lowasa basi,
hiyo kama sio ukanda ni nini?


Kama suala ni ukanda na ukabila wanaotengeneza sura hiyo ya ukanda na ukabila ni wanachama wa CCM wenyewe kwa kushusha bendera za chama chao wenyewe,iweje sasa muanze kuwarukia wapinzani kwa mambo yasiyowahusu mpaka muwashawishi wananchi wa kanda ya ziwa washushe bendera za chama cha upinzani badala ya kuwashawishi kushusha bendera za CCM kama wanavyofanya wanachama wenzao wa Arusha?.

Na kama wanachama wengine watashusha bendera za CCM katika maeneo mengine kitakachotokea ni kwamba ukanda na ukabila utazidi kushamili zaidi na huo ndio utakuwa ndio mwisho wa CCM kwa kuwa itakuwa imekataliwa kanda zote na wanachama wake yenyewe.
 
Urais sio zawadi kwamba mtu alieka muda mwingi kwenye Serikali ndio apewe....... Pia sio kweli Rais hatotoka Kaskazini naimaini atatoka kila kona ya Tanzania kwasababu Tanzania ipo na itaendelea kuwepo......
 
hilo la rais hatotoka kaskazini umeliamini kivipi , au una maanisha mgombea wa ccm hatotoka kaskazini ? hebu fafanua kabla sijachangia .
 
Ila ukifuatilia kwa makini wanaarusha wana hoja ya msingi,
huwezi kumuacha mtu aliyefika tatu bora 2015 Mwandosya na kumbeba Makamba tano bora.
Ni udhalilishaji wa hali ya juu.
 
mkuu mimi siko huko lakini nachokwambia ni kile ninachokiona kinafanyika haiwezekani watu wanasema wanamkubali sana magufuli lakini wanasema kwa kuwa ameondolewa mtu wao hawatani tena na wengine wakifanya hivyo nchi nzina itakuwaje?
Kwani si ndie misemo mliwafundisha CCM on the way..kuwa ingawa sijui mimi ni sijui ni Mkristu ila ktk hili..ingawa mimi ni Mchaga ila ktk hili, ingawa mimi ni CCM ila kwa hili la Zitto na CDM ....Ingawa mimi ni CDM ila ktk hili....Lowasa ne alidhani issue ni kwa Wachaga na CDM tuu ndie maana hakuona km ukanda ulimhusu sasa watu wake ndio wanaamka na wanakumbuka alichoongea Mtoto wa mfalme na hadi sasa anajisifu kwa hilo.
 
Back
Top Bottom