Bendera za CCM zimeng'olewa Arusha

Bendera za CCM zimeng'olewa Arusha

kasikazini wana rahana ya nyerere tangu walipotaka kupewa uhuru wao na kupinga uhuru aliokuwa anautafuta nyerere,ndo maana wanaendekeza siasa za ukanda nawashauri acheni hicho mnachokifanya kutawarudia na mtapinga kelele,
 
nyie wajinga na siasa zenu za ukamda na ukabila,watu wakiwasema mnalalamika mimi mmwenyewe nakaa arusha nasikia wanayoyasema
,naomba na kanda ya ziwa zote za upinzani wazingoe tuone na ukabila wanu,
mungu anapompanga mtu kuwa rais kwake sio ukanda wala ukabila bali mtu sahihi wa kuongoza taifa,
Leo wameona wajiseme chama cha kaskazini lakini pamoja na hayo hawana madhara yeyote kwenye kura za Urais..
 
Sio Arusha mjini tu hadi huku kwenye wilaya za Arusha watu wengi wamehama wako chadema

wanatimiza agizo la mkubwa wao na sisi wa kanda ya ziwa tunafanya yetu na wakusini mtuunge mkono zidi ya hii dhabi inayolipeleka taifa letu kwenye kaburi,
 
Jamani, mbona watu tunajitia wazimu hivi hivi?? Ni nani mmbeya hapa? Kusema Makofuli kaanza kampeni mapema ni umbeya?? Walifanya kampeni ya kufa mtu kwa mbwembwe za kusaka wadhamini na kuchukua form na kurudisha fomu, sasa mzee Lubuva ndo unajifanya kuangalia upande mwingine??
Kama kweli hii ni tume huru, chukua hatua. Mkate huyo Makofuli au mpe hata onyo. Kila kinyume kifanywacho na ccm hakionekani, ila akijaribu kufanya chema, CDM kinaitwa uvunjifu wa amani.
Mkamtandika Lipumba ka Jizi na kumkalisha chini kwenye gari la wazi kuuonesha ulimwengu. Kisa, ati kuandamana kwa amani. Mijizi imeonekana na hatia kabisa kuiba mali za serekali, mnaipa kiti cha kukalia kwenye lile lile gari mlilompakia Lipumba. CCM mna mambo nyiye we acha tu. Nisameheni, nawaza tuuu

Huyo makomeo hata akifanya nini, hatoboi mwaka huu
 
lengo la mengi limetimia, naomba na wa kanda ya ziwa futeni upinzani ,tuone hawa jamaa naka nao lakini siasa zao ni ukanda ukabila wako tayari hata maiti aongoze nchi madamu anatoka kwao,


....Kanda ya ziwa ?

article-1320654-0486FAF30000044D-718_468x286.jpg
 
nyie wajinga na siasa zenu za ukamda na ukabila,watu wakiwasema mnalalamika mimi mmwenyewe nakaa arusha nasikia wanayoyasema
,naomba na kanda ya ziwa zote za upinzani wazingoe tuone na ukabila wanu,
mungu anapompanga mtu kuwa rais kwake sio ukanda wala ukabila bali mtu sahihi wa kuongoza taifa,

Si kweli mkuu, tatizo ni pale ambapo mto ndani ya CCM anasema Rais wa Tanzania hatatoka Kaskazini. Halafu huu usemi unatimia kwa njia za Hila
 
Leo wameona wajiseme chama cha kaskazini lakini pamoja na hayo hawana madhara yeyote kwenye kura za Urais..

mkuu huu mpango umekuwa unafanyika muda mrefu
lakini watajua hii dhabi wanayoitengeneza itakura kwao sisi ni mara tatu yao tutaona mwaka huu na ikiwezekana waweke wazi tujue hadi kwenye magazeti ili taifa lijuie wazi,
 
Sio Arusha mjini tu hadi huku kwenye wilaya za Arusha watu wengi wamehama wako chadema

.....Kiteto, Hanang , Babati , Simanjiro , Ngorongoro , Arumeru magharibi na Longido Chadema mwendo mdundo !!
 
Kanda ya ziwa hatutaki kabisa kuisikia ccm bora huko kaskazini na hii ya kutugawa kikanda na kikabila tumewashtukia mtaota mbawa
 
lengo la mengi limetimia, naomba na wa kanda ya ziwa futeni upinzani ,tuone hawa jamaa naka nao lakini siasa zao ni ukanda ukabila wako tayari hata maiti aongoze nchi madamu anatoka kwao,


Hakuna mtu wa kanda ya ziwa anayehitaji mambo ya ukanda.
 
lengo la mengi limetimia, naomba na wa kanda ya ziwa futeni upinzani ,tuone hawa jamaa naka nao lakini siasa zao ni ukanda ukabila wako tayari hata maiti aongoze nchi madamu anatoka kwao,


Hivi unawahusishaje wapinzani kwenye sakata la CCM?wakati wanaoshusha bendera za CCM ni CCM wenyewe?.
 
Nkobe

kasikazini na siasa za ukanda hii dhabi itawatafuna,kumbe nyerere aliwaona mapema sana,
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabisa hata mimi nimeenda Arusha jana bendera zote zimeshatolewa wale masalia wa ccm walikuwa wamebakia arusha naona wameamua kusaliti amri wenyewe kabla operasheni FUTA DELETE CCM ARUSHA kuanza tena .
 
Back
Top Bottom