kisiki kizito
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 676
- 860
Acha uongo ndugu Arusha hipi hyo au ya kasulu nn ..... Huku ni pepoz only....
Ni ndani ya siku hizi tatu ninashuhudia utitiri wa bendera za ACT haswahaswa katika mitaa ya Kimandolu na Ngulelo.
Sijaelewa kwanini na sifahamu ni nani anayezigawa na pia inashangaza kwanini zinapepea tena karibu na barabara.
Siasa ya mwaka huu ni ngumu, wanasiasa wanaonesha ulaghai huku raia wakiwa wajanja mno!
Ni ndani ya siku hizi tatu ninashuhudia utitiri wa bendera za ACT haswahaswa katika mitaa ya Kimandolu na Ngulelo.
Sijaelewa kwanini na sifahamu ni nani anayezigawa na pia inashangaza kwanini zinapepea tena karibu na barabara.
Siasa ya mwaka huu ni ngumu, wanasiasa wanaonesha ulaghai huku raia wakiwa wajanja mno!
Nitapiga na kuziweka mkuu lakini wakati unasubiri waulize wakazi wa maeneo hayo ambao wako humu jamvini.
by the way...Leo hii huniamini hata mimi?
Ni kweli mkuu nimeona moja ikipepea chumbani mwa mama yako na zitto akiwa ndani
Utaniona kioja sana miezi hii kama kweli inavyokuwa chungu.
wewe naona huwajui watu wa kaskazini vizuri. yaani mtu wa kaskazini ashabikie chama cha zito aache CHADEMA? Labda huyo ni muha kibarua anatafuta maisha huko
bendera za ACT zinatolewa na CCM
Act ndyo nini chama cha wakulima or
bendera za ACT zinatolewa na CCM
ACT ndio chama kikuu cha upinzani kwasasa. UKAWA imebainika ni genge la wasakatonge kwakuwa tayari kupokea watu waliofilisika kisiasa ambao Mwl Nyerere alikwisha walaani.
Wewe kila sehemu upo umekuwa mwezi au jua.
Jenga hoja mkuu acha matusi....
Ni Kwa nini mashambulizi yenu huwa mnayaelekeza CDM tu,CCM mnaiogopa?acheni ujinga wa kujiita wapinza Kwa kuisaidia CCM kuua upinzani
Ungeandika bendera za ACT zaupamba mji wa kimandolu, maana nipo arusha ila sijaona