Bendera ya Kenya jengo la Burj Khalifa iliwekwa 2019, ni nani amemuongopea Rais wetu kuwa imewekwa karibuni?

Bendera na picha ya Rais wao iliwekwa?? malizia basi.

Hata sikuelewi hili linahusiana nini au ni uchungu wa kichawi tu?
Ngoja nikueleweshe

Raisi amesema baada ya malumbano ya bandari huku kwetu, wenzetu(Kenya) walikimbilia hukohuko na bendera yao ikawekwa kwenye jengo kama yetu ilivyowekwa, hivyo wametumia fursa.

Hii haikuwa kweli, bendera ya Kenya jengo la Burj khalifa haujawekwa hivi karibuni, iliwekwa 2019 siku yao ya Uhuru.

Mimi simkosoi raisi kwa hili maana najua huenda hivi vitu havijui, nakosoa watu waliompa hii taarifa.
 
Jifuteni machozi tu, kwa kuleta vijihabari vya kijingajinga.

Vipi bandarini huko, nani kidedea?
 
Kun wakati hadi namuuonea huruma mama! Unajua mama ni mama tu ... Ila Ndio hivi ... Hadi naona aibu mi
Unajua wiki hii mtandaoni twitter Kuna watu walikua wakiwatania wakenya kuhusu bendera yao burj khalifa, waliwaambia wajiandae. Ilikua kama meme, haikua serious

Naona Kuna washauri wa raisi wamechukua hilo wakidhani bendera ya Kenya imewekwa karibuni
 
Ngoja nikueleweshe

Raisi amesema baada ya malumbano ya bandari huku kwetu, wenzetu(Kenya) walikimbilia hukohuko na bendera yao ikawekwa kwenye jengo kama yetu ilivyowekwa, hivyo wametumia fursa.

Hii haikuwa kweli, bendera ya Kenya jengo la Burj khalifa haujawekwa hivi karibuni, iliwekwa 2019 siku yao ya Uhuru.

Mimi simkosoi raisi kwa hili maana najua huenda hivi vitu havijui, nakosoa watu waliompa hii taarifa.
Iliwekwa na picha yao ipi ya Rais, mbona hilo humalizii?


Yaani wewe utaelewa kuliko Samia kuwa unaweza hata kulipia, lile jumba ni billboard la matangazo, hata makampuni yanakodisha kulipia.

Ujinga tu huo.
 
Raisi kujadili hili suala la picha Burj khalifa ni porojo? Unahisi ni jambo dogo hadi raisi amelizungumzia?
1689351012943.png
 
Iliwekwa na picha yao ipi ya Rais, mbona hilo humalizii?


Yaani wewe utaelewa kuliko Samia kuwa unaweza hata kulipia, lile jumba ni billboard la matangazo, hata makampuni yanakodisha kulipia.

Ujinga tu huo.
Sijui hata tunaelewana. Raisi kazungumzia bendera ya jirani kuwekwa jengo la Burj khalifa baada ya sisi huku kuanza kulumbana, Mimi nasema haikuwekwa hivi karibuni ni ilikua 2019

Hapo kipi hatujaelewana?
 
Leo na mimi acha niwaseme washauri wa raisi, imekuwa ipi wanamueleza raisi kuwa bendera imewekwa hivi karibuni wakati bendera ya Kenya iliwekwa 2019??

Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa.

Ni nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?

Naamini hili suala kuna waliomshauri mama aligusie bila kujua hili ni la miaka imepita
View attachment 2687987
Dr. PHd jamani huwa naona aibu kuwa Tanzania tuna Raisi
 
Leo na mimi acha niwaseme washauri wa raisi, imekuwa ipi wanamueleza raisi kuwa bendera imewekwa hivi karibuni wakati bendera ya Kenya iliwekwa 2019??

Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa.

Ni nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?

Naamini hili suala kuna waliomshauri mama aligusie bila kujua hili ni la miaka imepita
View attachment 2687987
Ohoo...

😂😂😂

Rais wangu masikinii.!!
 
Back
Top Bottom