King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,986
- 69,353
Mbona wakenya hawajatusanua sisi tulivyowekwa march 2022?
nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?Leo na mimi acha niwaseme washauri wa raisi, imekuwa ipi wanamueleza raisi kuwa bendera imewekwa hivi karibuni wakati bendera ya Kenya iliwekwa 2019??
Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa.
Ni nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?
Naamini hili suala kuna waliomshauri mama aligusie bila kujua hili ni la miaka imepita
View attachment 2687987
Chawa ndio pia wanachangia. Wiki hii kuna watu twitter hadi lema niliona wakiwatania wakenya kuwa wajiandae huku wakiweka post zenye bendera ya kwenye kwenye hilo jengo.Aibu kweli hii. Rais hayuko informed kiasi hiki?
Kwamba Toka 2019 Hadi Leo hii Bado ipo au wewe ndio umeamua Kwa Makusudi kutumia taarifa za mwaka 2019 kupotosha?Leo na mimi acha niwaseme washauri wa raisi, imekuwa ipi wanamueleza raisi kuwa bendera imewekwa hivi karibuni wakati bendera ya Kenya iliwekwa 2019??
Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa.
Ni nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?
Naamini hili suala kuna waliomshauri mama aligusie bila kujua hili ni la miaka imepita
View attachment 2687987
Ila kuna wale kupe nape ,mwigulu na na makamba ndo huo wanamsifia huyu mother kwa Kweli sikuwahi hata kidogo kumkubi huyu motherKama rais yuko poorly informed kiasi hiki, taifa letu liko salama kweli?
Rais anadanganywa anadanganyika mchana kweupe? Hivi anafikiri watu ni wajinga ama?
Samia sifa ya urais hana hata moja.
Wamemdanganya shost Ako na baada ya hapo Kenya nao walidrop hiyo deal baada ya kugundua uhuni wa Dp world;Nipo hapa, nije mara ngapi?
Na America waliwekaWamemdanganya shost Ako na baada ya hapo Kenya nao walidrop hiyo deal baada ya kugundua uhuni wa Dp world;
Watu wamemkimbizia mama screenshort.Leo na mimi acha niwaseme washauri wa raisi, imekuwa ipi wanamueleza raisi kuwa bendera imewekwa hivi karibuni wakati bendera ya Kenya iliwekwa 2019??
Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa.
Ni nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?
Naamini hili suala kuna waliomshauri mama aligusie bila kujua hili ni la miaka imepita
View attachment 2687987
Hapa nami panashangaza, Ina maana wote hawana nia nzuri? Kama ni hivyo basi tukubali hata mkataba pia sio mzuriWatu wamemkimbizia mama screenshort.
Watu waliomzunguka mama nadhani wamejiapisha kitu juu yake, na watafanikiwa tu si ndiyo waliomzunguka bana.
Daaa unabishana na faiza foxSijui hata tunaelewana. Raisi kazungumzia bendera ya jirani kuwekwa jengo la Burj khalifa baada ya sisi huku kuanza kulumbana, Mimi nasema haikuwekwa hivi karibuni ni ilikua 2019
Hapo kipi hatujaelewana?
Wewe na DP World?Unajifaraguwa tu.
Sisi na Samia 2025.
Leo na mimi acha niwaseme washauri wa raisi, imekuwa ipi wanamueleza raisi kuwa bendera imewekwa hivi karibuni wakati bendera ya Kenya iliwekwa 2019??
Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa.
Ni nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?
Naamini hili suala kuna waliomshauri mama aligusie bila kujua hili ni la miaka imepita
View attachment 2687987
Namnukuu kaka yake siku samia alipotangazwa rais" baba akifufuka leo atatushangaa kuona samia rais"Huyu mama uwezo wake mdogo, hajui mambo mengi. Kumpa urais ni kumuonea tu. Hata akipiga deal inakuwa uchi
Ni Wazanzibar wachache wenye akiliMtu aliyefeli kila mahali hata ukimpa dessa anaweza kukuaibisha kwa kukopi na jina lako
Taarifa na imfikie popote alipoLeo na mimi acha niwaseme washauri wa raisi, imekuwa ipi wanamueleza raisi kuwa bendera imewekwa hivi karibuni wakati bendera ya Kenya iliwekwa 2019??
Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa.
Ni nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?
Naamini hili suala kuna waliomshauri mama aligusie bila kujua hili ni la miaka imepita
View attachment 2687987