uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,302
- 9,462
Tangu aichukue Simba kutoka mikononi mwa Tinhowanaman Benchika amepata draw nyingi sana ndani ya mda mfupi draw hizi amezipata kwa team ndogo na za kawaida kabisa kama Namungo,Jwanengy,Azam na vipigo vya hapa na pale mfano kile Cha Mlandege (team dhaifu zaidi) na Wydad mbovu
Pamoja na matokeo hayo Benchika ameendelea kukonga mioyo ya mashabiki wa Simba bila wasiwasi hali inayomfanya awe kocha wa pekee kupendwa hata pale team inapofanya vibaya eg nafasi ya 3 kwenye ligi hadi Sasa
Hii ni ishara ya ukomavu wa wanasimba dhidi ya makocha au ni "tufanyeje Sasa"
Pamoja na matokeo hayo Benchika ameendelea kukonga mioyo ya mashabiki wa Simba bila wasiwasi hali inayomfanya awe kocha wa pekee kupendwa hata pale team inapofanya vibaya eg nafasi ya 3 kwenye ligi hadi Sasa
Hii ni ishara ya ukomavu wa wanasimba dhidi ya makocha au ni "tufanyeje Sasa"