Black poison The Factor
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 864
- 1,264
Kiukweli kila nikiwaangalia viongozi wa Simba nyuso zao hazina Nuru tena, imebaki Bora liende tu na kwasasa mzigo mzito upo kwa kocha wao benchika,
Siku ya mechi na singida black star ilibidi abaki uwanjani kwa dakika kadhaa, ukiulizwa kwamba alikua anawaza nini utakua na majibu mengi ambayo hayatatoa jibu straight ni lipi.
Pengine alikua anawaza aachie ngazi, ama kibarua dhidi ya yanga ama hatima ya uwepo wake pale Simba.
Mimi ni yanga lialia ila kiukweli huruma ilinijia kwa hali aliyokua nayo siku ile, hapa ndo nikajua kwamba hakuna kazi ngumu kama kumfundisha mtu mzima ambaye nayeye anaamini kwamba ana akili timamu.
Ukimtazama ahmed ally amefikia hatua ya kusema shabiki wa Simba mwenye roho ngumu aende uwanjani, kweli hata wao wamechoka
Yote kwa yote kama benchika hataki kuondoka Simba kwa fedheha (kufukuzwa) basi aachie ngazi kabla ya mtanange wa tarehe 20.
Hata hivyo derby hua hazitabiriki
Siku ya mechi na singida black star ilibidi abaki uwanjani kwa dakika kadhaa, ukiulizwa kwamba alikua anawaza nini utakua na majibu mengi ambayo hayatatoa jibu straight ni lipi.
Pengine alikua anawaza aachie ngazi, ama kibarua dhidi ya yanga ama hatima ya uwepo wake pale Simba.
Mimi ni yanga lialia ila kiukweli huruma ilinijia kwa hali aliyokua nayo siku ile, hapa ndo nikajua kwamba hakuna kazi ngumu kama kumfundisha mtu mzima ambaye nayeye anaamini kwamba ana akili timamu.
Ukimtazama ahmed ally amefikia hatua ya kusema shabiki wa Simba mwenye roho ngumu aende uwanjani, kweli hata wao wamechoka
Yote kwa yote kama benchika hataki kuondoka Simba kwa fedheha (kufukuzwa) basi aachie ngazi kabla ya mtanange wa tarehe 20.
Hata hivyo derby hua hazitabiriki