Benazir Bhutto Assassinated!!

by de way yasemekana alipigwa risasi ya shingoni ndipo jamaa naye akalipua bomu...mimi now najiuliza..hivi hizi bullet [rppf nazo wanazo vaa wakuu ni za kuzuia risasi za kifuanina mgongoni tuu?wataalam zaidi naomba mnisaidie kuhusu hilo

Bullet proof vest haisaidii wala haimzuii mtu kukuua kwa sababu hiyo unaivaa kifuani tu na mwili si kifua peke yake. Kuna miguu, kichwa, shingo, mikono, tumbo, kiuno, n.k. Labda waje na bullet proof suit kama zile za wanaanga (astronauts) zinazokava mwili mzima kuanzia kichwa hadi miguu

Mkuu Nyani, jibu lako poa sana, ila mimi ningeongeza kuwa; mtu atakaye vaa hiyo body suit, itambidi ale humo humo, alale humo humo, ajisaidie na aoge humohumo. Mauti haikimbiliki na kibaya zaidi ni kama kuna mbaya wako aliyedhamiria kukufanyia hivyo yupo, atafanikiwa tu hata utumie mbinu gani kujihami.

SteveD.
 
Fuata thread inavyokwenda na sio kurukia posti yangu.

Nimeifuata vizuri tu na kuelewa kila kitu, implication yako kwamba tusipokuwa na CCM basi tutegemee tutakuwa kama pakistani ndio yenye tatizo. Ndio maana nakuambia usiihusishe CCM na hili jambo hata kidogo, Watanzania sio wajinga huwezi kuipa CCM umaarufu kwa utumia hili jambo la huko kwingine.

Utulivu wa Tanzania ni wawatanzania na si wawaccm.
 
Sisi sote tutakufa. Wengine watakufa kitandani, wengine kwenye ajali, wengine kwenye uwanja wa mapambano. Kabla yake waliuawa kina Gandhi, Luther, Malcom, Walter Rodney n.k Watu wenye madaraka wanaposukumwa sana hatimaye wanasukuma na wenyewe! Wale wote walioingia katika mapambano ya kuwatetea wananchi wao hasa katika nchi ambazo zinamatishio ya risasi wanajua kabisa kuwa kati ya gharama wanazoweza kulipa ni ile ya maisha yao. Tatizo ni kuwa baada ya ujuzi huo kukita ndani ya mioyo yao wanakubali hiyo fate na hawawezi kukoma na kurudi nyuma wakisalimu amri!

Unapofikia hatua hii ya utambuzi wa gharama hii kubwa unayoweza kuilipa unakuwa umefikia pake Martin Luther King Jr aliita "I have been to the mountain top, and I have seen the Promised Land". Ukifika kwenye kilele hicho cha mlima na kuiona nchi hiyo ya ahadi huwezi kurudi chini!

Bi. Benazir aliamini kuwa Taifa lake linastahili vilivyobora zaidi na linaweza kuwa Taifa bora zaidi. Alipinga matumizi ya nguvu katika siasa na alijaribu kujenga hoja za kisiasa. Hata hivyo katika ulimwengu huu ambapo matakwa ya kisiasa hulazimishwa kwa nguvu wakati mwingine, wabaya wake waliamua alipe gharama ya maisha yake, na kwa kweli amelipa.

Kwa wale wengine ambao tulikuwa tunamwanagalia mama Bhutto kama a symbol of defiance leo hii mioyo yetu inawaka zaidi na dhamira zetu zimeamshwa zaidi kwani uchaguzi tulio na ni mwepesi; kusalimu amri au kurudi nyuma, kusonga mbele au kujibanza kwa woga; kuendelea kupiga kelele au kunyamaza kimya! Bi. Bhutto ametuonesha njia iliyo na nguvu zaidi kuwa kuna wakati lazima tuwe tayari kuweka mguu chini na kusema hawatatusukuma nyuma tena!

Mapambano haya basi siyo ya watu waoga! Kama hujakaa na kutafakari uwezekano wa kutolewa mhanga kwa ajili ya nchi yako na watu wako hustahili kupambana!
 
Mr.Zero
Poor Woman!!! Hawa wajahidina AlQaeda Mungu awalaani milele na milele!!!!!

Mr.Zero
Huu ni mpango wa Al Qaeda tu!! Jamaa hawawezi kukubali kuona mwanamke anatawala!!!

Pamoja na kwamba ulichoandika hapo kina ukweli, kilichowaudhi hawa alqaeda ni kuwa Benazir anataka uwaziri mkuu kwa kupitia mgongo wa Marekani na Britain. Sasa ukizingatia kuwa marekani ni adui namba moja wa alqaeda, support ya wamerakani & Britain kwa benazir must have ignited this tragic death.

Yournameismine
NBC today with Matt Lauer, like father like daughter....Benazir assassinated!!!!. Ilikuwa ni matter of time, tusubiri huo moto wake.......wamarekani wanalaumu Gen. Musharaf!

Walitaka afanye nini huyo musharaf??? Ambebe mgongoni?? Mbona hata musharaf mwenyewe ameponea chupuchupu katika majaribio ya kutaka kuondoa uhai wake???

Bin Maryam
Kweli ni utamaduni mbaya tuendelee tu na CCM yetu

Assassination zipo katika sura tofauti. Mbona CCM wanafanya assassinations tena za ndani kwa ndani; Sokoine, Kolimba, Kombe, Amina chifupa,…the list is endless.
 
Kweli kabisa Steve, mtu kama amedhamiria kukumaliza na hana cha kupoteza basi atakumaliza tu. It is one of those extremes of human behavior.
 
A terrible day for democracy in Pakistan. May God rest her soul in eternal peace~AMEN.



Wrong,

1) Pakistan has never had any meaningful democracy since independence

2) This didn't have to happen. Yes Bhutto was a courageous but EXCEPTIONALLY foolish woman. Far too much disregard for her safety but more importantly, the safety of her followers.

3) Proof that even having an OXFORD degree does not mean one is intelligent or smart as one might think....do you know how they used to call he when she was there?

4) In my opinion the ISI have just done a very good job(that does not mean nina endorse the means) lakini Bhutto was a nutcase and she had to be out of the way
 
Sisi sote tutakufa. Wengine watakufa kitandani, wengine kwenye ajali, wengine kwenye uwanja wa mapambano. Kabla yake waliuawa kina Gandhi, Luther, Malcom, Walter Rodney n.k Watu wenye madaraka wanaposukumwa sana hatimaye wanasukuma na wenyewe! Wale wote walioingia katika mapambano ya kuwatetea wananchi wao hasa katika nchi ambazo zinamatishio ya risasi wanajua kabisa kuwa kati ya gharama wanazoweza kulipa ni ile ya maisha yao. Tatizo ni kuwa baada ya ujuzi huo kukita ndani ya mioyo yao wanakubali hiyo fate na hawawezi kukoma na kurudi nyuma wakisalimu amri!

Unapofikia hatua hii ya utambuzi wa gharama hii kubwa unayoweza kuilipa unakuwa umefikia pake Martin Luther King Jr aliita "I have been to the mountain top, and I have seen the Promised Land". Ukifika kwenye kilele hicho cha mlima na kuiona nchi hiyo ya ahadi huwezi kurudi chini!

Bi. Benazir aliamini kuwa Taifa lake linastahili vilivyobora zaidi na linaweza kuwa Taifa bora zaidi. Alipinga matumizi ya nguvu katika siasa na alijaribu kujenga hoja za kisiasa. Hata hivyo katika ulimwengu huu ambapo matakwa ya kisiasa hulazimishwa kwa nguvu wakati mwingine, wabaya wake waliamua alipe gharama ya maisha yake, na kwa kweli amelipa.

Kwa wale wengine ambao tulikuwa tunamwanagalia mama Bhutto kama a symbol of defiance leo hii mioyo yetu inawaka zaidi na dhamira zetu zimeamshwa zaidi kwani uchaguzi tulio na ni mwepesi; kusalimu amri au kurudi nyuma, kusonga mbele au kujibanza kwa woga; kuendelea kupiga kelele au kunyamaza kimya! Bi. Bhutto ametuonesha njia iliyo na nguvu zaidi kuwa kuna wakati lazima tuwe tayari kuweka mguu chini na kusema hawatatusukuma nyuma tena!

Mapambano haya basi siyo ya watu waoga! Kama hujakaa na kutafakari uwezekano wa kutolewa mhanga kwa ajili ya nchi yako na watu wako hustahili kupambana!

Mwanakijiji

Once the see you the Mafisadi's gonna bullet you like Bhuto before you ballot them away. Wear your fear proof because even the Balali's gonna die eventually.

May Allah rest her soul in peace.

Asha
 
but niliwahi kusikia zina nguvu ya kuvuta risasi kama sumaku ivutavyo chuma ili risasi ielekee kwenye bullet proof otherwise si ingekua haina maana maana ya nini mtu aangaike kupiga kifuani apoteze risasi yake ya ghali wakati anaona kichwa??
ndio maana nikataka wataalam wanaoweza jua zaidi kuhusiana na hizi bullet proof watuelezeee zaidi

Hiyo ya "bullet proof" kama sumaku kuvuta risasi ni urban legend na hakuna ukweli hata kidogo.......kaka just imagine feasibility ya hiyo kitu, ni zero!! hizo ni stori kama za kinjekitile, ati risasi zitageuka kuwa maji..........
 


Wrong,

1) Pakistan has never had any meaningful democracy since independence

2) This didn't have to happen. Yes Bhutto was a courageous but EXCEPTIONALLY foolish woman. Far too much disregard for her safety but more importantly, the safety of her followers.

3) Proof that even having an OXFORD degree does not mean one is intelligent or smart as one might think....do you know how they used to call he when she was there?

Game,
Does fear of death translate to smartness?!


SteveD.
 
Sisi sote tutakufa. Wengine watakufa kitandani, wengine kwenye ajali, wengine kwenye uwanja wa mapambano. Kabla yake waliuawa kina Gandhi, Luther, Malcom, Walter Rodney n.k Watu wenye madaraka wanaposukumwa sana hatimaye wanasukuma na wenyewe! Wale wote walioingia katika mapambano ya kuwatetea wananchi wao hasa katika nchi ambazo zinamatishio ya risasi wanajua kabisa kuwa kati ya gharama wanazoweza kulipa ni ile ya maisha yao. Tatizo ni kuwa baada ya ujuzi huo kukita ndani ya mioyo yao wanakubali hiyo fate na hawawezi kukoma na kurudi nyuma wakisalimu amri!

Unapofikia hatua hii ya utambuzi wa gharama hii kubwa unayoweza kuilipa unakuwa umefikia pake Martin Luther King Jr aliita "I have been to the mountain top, and I have seen the Promised Land". Ukifika kwenye kilele hicho cha mlima na kuiona nchi hiyo ya ahadi huwezi kurudi chini!

Bi. Benazir aliamini kuwa Taifa lake linastahili vilivyobora zaidi na linaweza kuwa Taifa bora zaidi. Alipinga matumizi ya nguvu katika siasa na alijaribu kujenga hoja za kisiasa. Hata hivyo katika ulimwengu huu ambapo matakwa ya kisiasa hulazimishwa kwa nguvu wakati mwingine, wabaya wake waliamua alipe gharama ya maisha yake, na kwa kweli amelipa.

Kwa wale wengine ambao tulikuwa tunamwanagalia mama Bhutto kama a symbol of defiance leo hii mioyo yetu inawaka zaidi na dhamira zetu zimeamshwa zaidi kwani uchaguzi tulio na ni mwepesi; kusalimu amri au kurudi nyuma, kusonga mbele au kujibanza kwa woga; kuendelea kupiga kelele au kunyamaza kimya! Bi. Bhutto ametuonesha njia iliyo na nguvu zaidi kuwa kuna wakati lazima tuwe tayari kuweka mguu chini na kusema hawatatusukuma nyuma tena!

Mapambano haya basi siyo ya watu waoga! Kama hujakaa na kutafakari uwezekano wa kutolewa mhanga kwa ajili ya nchi yako na watu wako hustahili kupambana!

MwanaKijiji:

Nakuomba soma posti iliyoandikwa na mtoto wa Kaka yake kuhusu Bi. Bhutto. Huyu mama na yeye alikuwa na maadui wengi.

http://www.latimes.com/news/opinion/la-oe-bhutto14nov14,0,2482408.story?coll=la-opinion-center
 
Mwanakijiji

Once the see you the Mafisadi's gonna bullet you like Bhuto before you ballot them away. Wear your fear proof because even the Balali's gonna die eventually.

May Allah rest her soul in peace.

Asha

Sidhani Tanzania tunakwenda huko wangewaondoa kina Mrema na Mtikila kwanza.. sisi wengine ni vidagaa tu..
 
Nimeifuata vizuri tu na kuelewa kila kitu, implication yako kwamba tusipokuwa na CCM basi tutegemee tutakuwa kama pakistani ndio yenye tatizo. Ndio maana nakuambia usiihusishe CCM na hili jambo hata kidogo, Watanzania sio wajinga huwezi kuipa CCM umaarufu kwa utumia hili jambo la huko kwingine.

Utulivu wa Tanzania ni wawatanzania na si wawaccm.

Vizuri umefuatilia. Nilichosema ni implication ya CCM kuwa madarakani.
 
Mwanakijiji

Once the see you the Mafisadi's gonna bullet you like Bhuto before you ballot them away. Wear your fear proof because even the Balali's gonna die eventually.

May Allah rest her soul in peace.

Asha

Asha,....... and are you in the planning committee to execute the same?


SteveD.
 
Sisi Wanadamu thamani yetu ni nini?

Kwa nini tunachingiana kama kuku?

hii ni kwa kwa faida ya nani?

Naralete n september 11- je mbona sisi wanadamu tuna roho mbaya kiasi hiki?

Naomba majibu!
 
MwanaKijiji:

Nakuomba soma posti iliyoandikwa na mtoto wa Kaka yake kuhusu Bi. Bhutto. Huyu mama na yeye alikuwa na maadui wengi.

http://www.latimes.com/news/opinion/la-oe-bhutto14nov14,0,2482408.story?coll=la-opinion-center

Nimeisoma na nilipoirudia tena maneno haya yamenigusa:



And I am suspicious of her talk of ensuring peace. My father was a member of Parliament and a vocal critic of his sister's politics. He was killed outside our home in 1996 in a carefully planned police assassination while she was prime minister. There were 70 to 100 policemen at the scene, all the streetlights had been shut off and the roads were cordoned off. Six men were killed with my father. They were shot at point-blank range, suffered multiple bullet wounds and were left to bleed on the streets.

My father was Benazir's younger brother. To this day, her role in his assassination has never been adequately answered, although the tribunal convened after his death under the leadership of three respected judges concluded that it could not have taken place without approval from a "much higher" political authority.

kwa hiyo naelewa kwanini mwandishi ameandika makala hiyo. Nadhani hata wewe unaweza kuiona kwani haijafichika mbele ya macho yako.
 
Game,
Does fear of death translate to smartness?!


SteveD.

She had a warning before hand from the AL QAEDA,MI6 and the ISInot to return to Pakistan for her own security, but what did our OXFORD ALUMNI did?


One can also argue that Banazir was simply a victim of circumstances she never clearly understood.

In many ways, she was actually given the kiss of death by the Americans. As PM, she helped the Americans set up the Taliban and Al Queda. She has now been told that as a quid pro quo for having corruption charges dropped she had to become pour ainsi dire the American Proconsul in Pakistan.

She would have to wage war in Waziristan and Baluchistan, support the unconstitutional bid by Musharaf to remain president,etc all at the promptings of America. Her death is the answer of Pakistan to the American offer.
 
Sidhani Tanzania tunakwenda huko wangewaondoa kina Mrema na Mtikila kwanza.. sisi wengine ni vidagaa tu..

Actually we need akina Mrema and others of the so called wapinzani. bado hawajawa nutcases so eliminating them wont do any good afterall its good to have them around talking about non issues than not having them at all so its a win win situation for CCM Govt. That said huwezi ku apply the same in everycountry
 
Kwa wale wengine ambao tulikuwa tunamwanagalia mama Bhutto kama a symbol of defiance leo hii mioyo yetu inawaka zaidi na dhamira zetu zimeamshwa zaidi kwani uchaguzi tulio na ni mwepesi; kusalimu amri au kurudi nyuma, kusonga mbele au kujibanza kwa woga; kuendelea kupiga kelele au kunyamaza kimya! Bi. Bhutto ametuonesha njia iliyo na nguvu zaidi kuwa kuna wakati lazima tuwe tayari kuweka mguu chini na kusema hawatatusukuma nyuma tena!

Mwanakijiji nadhani hapa unaandika kwa hisia zaidi bila kuangalia ukweli wa mambo ulivyokuwa. Huyu mama (RIP)alikuwa na support ya wa-marekani na britain. Ukifuatilia historia yake,utagundua huyu mama alikuwa ni fisadi kama mafisadi unaowaona leo hii tanzania.

Huyu mama hakuwa na jipya zaidi ya kutaka kuendeleza ubabe wa marekani katika nchi zinazotawaliwa kwa kufuata misingi ya sharia. Wamarekani na waingereza walimuona kama ni mwenzao kwa vile amesoma katika nchi za magharibi (harvard & oxford).

Sasa unapompatia sifa zote hizo, wengine tunashindwa kukuelewa. Unless unamzungumzia benazir butto mwingine tofauti na huyu aliyekutwa na mauti leo hii.


 
sasa hiyo habari yanichanganya wajimini does it mean kuwa huyu lady alitake part katika kumuua mdogo wake mwenyewee ambaye ni baba wa mwandishi wa hiyo habari wakati Benazir akiwa waziri mkuu???
 
Game,
she was no saint, I believe she played a vital role in the death of Gen Zia, her brother Murtaz and many more............in the end she wanted to be a martyr, and stupid al qaeda granted her a martyrdom. She had a chance to stay away from Pakistan and fight the famous "mwanakijiji fight"..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom