Safi sana Membe agombee huko huko CCM maana wanachama wa CCM wanasema wanamhitaji kwa hali na mali.
CDM Mitandaoni ndio wanamuhitaji Mende, sisi CCM Tunaye Rais tayari.Safi sana Membe agombee huko huko CCM maana wanachama wa CCM wanasema wanamhitaji kwa hali na mali.
Acha dawa umupate
Hiyo fomu akachukue wapi wakati mjomba wako jiwe kaprint fomu moja tu.Membe chukua fomu acha kulia lia
Chukua fomu sisi wapiga kura ndio tutaamua
ITATEGEMEA NIMEAMKAJE SIKU HIO.CDM Mitandaoni ndi wanamuhitaji Mende, sisi CCM Tunaye Rais tayari.
Aliyemuwekea sumu Mangula mmeshampata?Ccm tunamtaka chapombe....
View attachment 1487442
mwambieni jiwe asubiri membe anagombea sasaKama unataka kugombea tena subiri 2025Mzee Membe.
Hiyo fomu akachukue wapi wakati mjomba wako jiwe kaprint fomu moja tu.
Fomu nyingi zipo Zanzibar huku Bara imeprintiwa moja tu.mjomba ako jiwe muoga sana maana alijua kabisa kuwa hakubaliki na yeyote ila analazimisha tu.Fomu zipo nyingi tu usiwe unasikiliza uzushi wa mtandaoni