Benard Membe hajafukuzwa CCM, hatima yake ni NEC

Nchi hii ni maskini sana badala ya kuhangaika na vitu vya msingi,sisi kila siku tunahangaika na wapinzani tuu,,,nendeni huko vijijini watu wako hoi kimaisha watu ambao walikuwa wanawategemea watawaboreshea hali zao za kimaisha ndo hao kila siku wanahangaika na maburunguku ya fedha za HONGO kwa wabunge wa vyama kinzani. Ni siasa za hovyo sana kwa nchi yetu,,nchi jirani zilikuwa zinajifunza kwetu jinsi mambo tulivyokuwa tunaendesha lakini siku hizi nchi yetu Tanzania sio darasa tena kwa nchi jirani tunapotelea wapwapi jamani,,tunajenga nchi ya namna gani kwasasa. Viongozi wastafu mko wapi nchi inapelekwa kusiko ninyi mmekaa kimya?mnataka mpaka mifarakano itokee ndo muinuke kukemea?. Wambieni watawala wa sasa kwamba upinzani hapa Tanzania hauwezi kufaaaa kamweee,,,ugumu wa maisha uliopo kwasasa ndo unaoleta upinzani!!!mtu hujamboreshea maisha yake na huduma za jamii unadhani ataendelea kukuunga mkono,,,haiwezekani hata kidogo. Tembea kwenye shida za watu hapo watu watakuunga mkono tu,ongea na watu vizuri,wasikilize kwa kile wanachoona kwao ni bora zaidi kuliko wewe kukusiliza,,,ukatili haujengi zaidi unatufakaranisha kama binadamu.
 
Jengeni ofisi nzuri bwana. Kila siku kudandia MATUKIO ili mpate umaarufu. Mwishowe Mtadandia na coronavirus. Membe kafukuzwa na mapendekezo hayo ya Cc hayawezi kubatilishwa na NEC. Kama mnamtaka mchukueni atawanukia hukohuko UFIPA. CCM litabaki kuwa baba lenu mpaka mwisho wa dahari

Wacha Uongo wewe CCM ni chama chetu wote, hivi nani asiyejua mamlaka ya CC na NEC.
 
Hoja hupingwa kwa hoja, wale wote mnaopingana na ujumbe wa gazeti hili tafadhali leteni hoja zetu za utetezi, acheni kutukana
 
Hivi Ameshapewa barua yake ya kufukuzwa? Sio barua ya nia ya kumfukuza.
Kwa kuwa wote "wanaoomba" kujiunga na vyama vya siasa huwa hawaombi kwa kundika barua, siku wakifukuzwa wanapewa taarifa tu. Minutes za kikao zinatunzwa. Sasa ni kazi ya aliyefukuzwa kuamua kuichana ile kadi au kuirudisha au kuitunza maana kuna siku anaweza kuomba msamaha na akarudishwa kundini
 
Kwa kuwa wote "wanaoomba" kujiunga na vyama vya siasa huwa hawaombi kwa kundika barua, siku wakifukuzwa wanapewa taarifa tu. Minutes za kikao zinatunzwa. Sasa ni kazi ya aliyefukuzwa kuamua kuichana ile kadi au kuirudisha au kuitunza maana kuna siku anaweza kuomba msamaha na akarudishwa kundini
Kuna jambo unamiss boss, Kamsikilize katbu wako mkuu alivyohojiwa na mwananchi utaelewa tofauti ya nia ya kumfukuza mwanachama na kumfukuza mwanachama.
 
Uwanja wa kisiasa ukiwa sawa kwa wote kati ya CCM na vyama vya upinzani ndugu yangu hii kauli yako itakuja kukusuta,,,,chukulia kwa mfano mdogo tu ili ujue nguvu ya upinzani ulivyo hapa nchini ni pamoja na matumizi makubwa ya vyombo vya habari kwa CCM kujinadi kwa miradi inayojengwa hapa nchini,pamoja na kutumia vyombo vya dora kuukandamiza upinzani kila mahali hapa nchini lakini bado kwenye uchaguzi mdogo mkaweka mpira kwapani,,sasa tujiulize pamoja na upendo wote mnaoutangaza kwamba CCM inapendwa na watanzania wote mnaogopa kuwepo kwa TUME HURU YA UCHAGUZI vile vile mnaogopa mikutano ya kisiasa kwa vyama vya upinzani,,,sasa udhihirisho wa kwamba mnapendwa unatoka wapi wakati mmekuwa waoga kiasi hiki?hivi nani ambaye ni intellectual huko CCM ambaye anawaminisha kitu kisichokuwepo na ambacho ninyi wenyewe hamkiamini kwenye nafsi zenu

Hakuna anayeogopa mikutano ya upinzani kinachozuiwa kwa upinzani ni fujo zao, huwezi kuitisha mkutano ukaenda kuwaambia watu wabebe majeneza, badala ya kuwaambia watapate maisha bola au utawasaidiaje kupata mikopo inayotoka kila halimashauli ili wapambane na makali ya maisha, au utakapoingia madarakani utarahisisha nni iki watu wanufaike na nchi yao, wewe unawbebesha majeneza, sasa ni serikali gani ikuruhusu? Hayo majeneza yatabebwa endapo watoto wao nao watakuwa tayari kubebwa kwenye hayo majeneza.
 
Hakuna anayeogopa mikutano ya upinzani kinachozuiwa kwa upinzani ni fujo zao, huwezi kuitisha mkutano ukaenda kuwaambia watu wabebe majeneza, badala ya kuwaambia watapate maisha bola au utawasaidiaje kupata mikopo inayotoka kila halimashauli ili wapambane na makali ya maisha, au utakapoingia madarakani utarahisisha nni iki watu wanufaike na nchi yao, wewe unawbebesha majeneza, sasa ni serikali gani ikuruhusu? Hayo majeneza yatabebwa endapo watoto wao nao watakuwa tayari kubebwa kwenye hayo majeneza.
Sasa baada ya ya kuwazuia hao wabebeshwa majeneza na wapinzani na mkafanikiwa kuwazuia mmewasaidia nini?kipi kimebadirika kwenye maisha yao baada ya hilo zuio la serikali kutekelezwa? Nchi inatakiwa kuendeshwwa kwa kufuata matakwa ya kikatiba sio matakwa ya mtu binafsi
 
Hakuna anayeogopa mikutano ya upinzani kinachozuiwa kwa upinzani ni fujo zao, huwezi kuitisha mkutano ukaenda kuwaambia watu wabebe majeneza, badala ya kuwaambia watapate maisha bola au utawasaidiaje kupata mikopo inayotoka kila halimashauli ili wapambane na makali ya maisha, au utakapoingia madarakani utarahisisha nni iki watu wanufaike na nchi yao, wewe unawbebesha majeneza, sasa ni serikali gani ikuruhusu? Hayo majeneza yatabebwa endapo watoto wao nao watakuwa tayari kubebwa kwenye hayo majeneza.
Sasa baada ya ya kuwazuia hao wabebeshwa majeneza na wapinzani na mkafanikiwa kuwazuia mmewasaidia nini?kipi kimebadirika kwenye maisha yao baada ya hilo zuio la serikali kutekelezwa? Nchi inatakiwa kuendeshwwa kwa kufuata matakwa ya kikatiba sio matakwa ya mtu binafsi
 
Kweli ccm hawajiamini kabisa
Uwanja wa kisiasa ukiwa sawa kwa wote kati ya CCM na vyama vya upinzani ndugu yangu hii kauli yako itakuja kukusuta,,,,chukulia kwa mfano mdogo tu ili ujue nguvu ya upinzani ulivyo hapa nchini ni pamoja na matumizi makubwa ya vyombo vya habari kwa CCM kujinadi kwa miradi inayojengwa hapa nchini,pamoja na kutumia vyombo vya dora kuukandamiza upinzani kila mahali hapa nchini lakini bado kwenye uchaguzi mdogo mkaweka mpira kwapani,,sasa tujiulize pamoja na upendo wote mnaoutangaza kwamba CCM inapendwa na watanzania wote mnaogopa kuwepo kwa TUME HURU YA UCHAGUZI vile vile mnaogopa mikutano ya kisiasa kwa vyama vya upinzani,,,sasa udhihirisho wa kwamba mnapendwa unatoka wapi wakati mmekuwa waoga kiasi hiki?hivi nani ambaye ni intellectual huko CCM ambaye anawaminisha kitu kisichokuwepo na ambacho ninyi wenyewe hamkiamini kwenye nafsi zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa baada ya ya kuwazuia hao wabebeshwa majeneza na wapinzani na mkafanikiwa kuwazuia mmewasaidia nini?kipi kimebadirika kwenye maisha yao baada ya hilo zuio la serikali kutekelezwa? Nchi inatakiwa kuendeshwwa kwa kufuata matakwa ya kikatiba sio matakwa ya mtu binafsi

Matakwa ni pamoja na kuzuia vifo vya kupangwa na wahuni.
 
Jengeni ofisi nzuri bwana. Kila siku kudandia MATUKIO ili mpate umaarufu. Mwishowe Mtadandia na coronavirus. Membe kafukuzwa na mapendekezo hayo ya Cc hayawezi kubatilishwa na NEC. Kama mnamtaka mchukueni atawanukia hukohuko UFIPA. CCM litabaki kuwa baba lenu mpaka mwisho wa dahari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom