Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Hii inadhihirisha nguvu ya Membe ndani ya CCM, walimfukuza, wakamtaka aombe msamaha akagoma, sasa hivi wanadai hajafukuzwa ila hatima yake ni NEC ya CCM. Huenda ile kauli ya NIGUSE NINUKE ikawa na uhalisia