Alnadaby
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 505
- 41
Mafisadi hawakuanza leo,ni kuanzia wakati wa mwalimu mwenyewe.mashirika ya umma yalitafunwa na mafisadi wakati wa Nyerere.Mkapa yeye akaona mradi ayauze akafanya biashara yake.Jk amerithi mambo machafu lakini anajaribu kusafisha nchi.juhudi zake zinaonekana.