maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,231
- 1,308
Wangekuwa chadema sidhani kama wapenda sifa wangewaacha..... wangetafutia kiki ya kiua chadema. Unadhani wapate weakness kama hiyo alafu wabaki hivi. Kifo cha Akwelina tu wanapelekesha wao ijekuwa wao ndio wawe wamehusika na kifo alafu wabakishwe mtaani na wasivyopendwa na chama dola... unadhani wangesalimika kutoka kwenye mamlaka. Wangewekwa mahabusu kama wale mashekhe uhamsho.Na hatimae chadema wenyewe wamemzimisha ili kutengeneza mazingira ya lawm kwa wengine. Kama alikuwa na wtegemezi masikini ndio basi tena, loooooh. Pole Ben ten saakumi.
Sent using Jamii Forums mobile app