P. Majaribu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 1,195
- 621
Duh! We jamaa una roho ngumu.Next time unagombea tena?
CC: Kansa Mbarouk
Duh! We jamaa una roho ngumu.Next time unagombea tena?
Kwenye hiyo no. 4 kama uligombea uenyekiti bavicha mara mbili hukufanikiwa, unaposema utagombea NAFASI NZITO ZAIDI (kuliko hizi za bavicha na kamati kuu) Je una maanisha unakitaka cheo cha Mwenyekiti wa kudumu Mbowe?
Haaaa
Mulize chacha Wangwe,zitto na Mbarouk...
Huyo Shetani Ben Saanane nimemuona hapa Calabash na wenzake ndani ya baa ya wachagga wenzake.Huyu jamaa labda wakuu ndani ya chama wamemshtukia ni Zitto Mwingine ajaye maana huyu jamaa ni mroho wa madaraka na mbishi kama rafiki yake wa Zamani Zitto.Mfukuzeni kabisa kabla hajaleta athari kwa chama lenu hilo la kigaidi
haha naukumbuka ule uzi! ... Alidai ndio kwanza ameanza! Tehtehetehe
Duh! We jamaa una roho ngumu.Next time unagombea tena?
Yericko Nyerere yupo mkuu ila ndo hivyo vijana wamekatishwa tamaa na maboss wao. Aligombea mwaka huu ka cheo flan hivi
hehehehehehehe!!!.... yericko nyerere vipi.... ama bado yupo busy kutafuta umaarufu kwa mgongo wa ZZK..
CHAGA DEVELOPMENT MANIFESTO - CHADEMA..
Teh teh teh
Wachaga wana visa saaaanaaa.
HIYO INAITWA KWAMBA ASIEKUWA MCHAGA NA ASILEEE.
Hivi wao mapimbi kama Makene..Saa nane na Kilewo wanadhani Ayatollah mtei na shemeji yake mbowe ni wajinga eeeh??
Wao waanzishe Saccoss kisha Waje Intruders from nowhere kujiingiza ingiza ndan ya Saccoss yao???
Thubutuuu.
Watasaga Lami hadi wakome zao.
Chadema ina wenyeweee.
Hahahaha.....Mzee wa Sumu,na bado Mambo ndo yanaanza......utaishia kujulikana JF tu!
Yericko Nyerere yupo mkuu ila ndo hivyo vijana wamekatishwa tamaa na maboss wao. Aligombea mwaka huu ka cheo flan hivi
Lakini kabla ya kugombea aliibuka na uzi flani hapa jf akidai dr. Slaa umaarufu umeshuka, na mbowe apumzike awape wengine kijiti. Siku chache baadae akagombea cheo flani katani kwao kigamboni, kura hazitosha.
Akaibuka juzi kati kumsapoti Nanyaro wote wakashindwa sasa yupo tu na shughuli zake za kubeba zege, yaan fundi mchundo.
Ben Saanane huwa tuna mwambia kila siku HUTAKAA KUAMINIKA HATA SIKU MMOJA! ona sasa mwenyewe amekiri katika sababu za kuondolewa ni USALITI... (no.2 nina tuhuma za usaliti)Hahahaha.....Mzee wa Sumu,na bado Mambo ndo yanaanza......utaishia kujulikana JF tu!
Yericko Nyerere yupo mkuu ila ndo hivyo vijana wamekatishwa tamaa na maboss wao. Aligombea mwaka huu ka cheo flan hivi
Lakini kabla ya kugombea aliibuka na uzi flani hapa jf akidai dr. Slaa umaarufu umeshuka, na mbowe apumzike awape wengine kijiti. Siku chache baadae akagombea cheo flani katani kwao kigamboni, kura hazitosha.
Akaibuka juzi kati kumsapoti Nanyaro wote wakashindwa sasa yupo tu na shughuli zake za kubeba zege, yaan fundi mchundo.
WanaJF,
Ni hatari sana kuendekeza uzushi
1:Jina langu halijapitishwa sawa na wagombea wengine na Mwenyekiti wa kikao cha Kamati Kuu na Baraza Kuu amefafanua
2:Sina tuhuma za usaliti
3:Makene hakugombea
4:Safari inaendelea....Next time Mungu akipenda nitajutokeza tena kwa kasi na nafasi nyingine nzito zaidi
5:Asanteni wote mlionipigia kampeni.Ushindi ulikua dhahiri
Teh teh teh.
Yericko ndugu yangu nae ana vituko sana...
Sasa mbeba zege kama yeye chadema ataaminika vipi.??
Daah.
Anatia huruma sana yule jamaa.
CC: Kansa Mbarouk
Ben Saanane huwa tuna mwambia kila siku HUTAKAA KUAMINIKA HATA SIKU MMOJA! ona sasa mwenyewe amekiri katika sababu za kuondolewa ni USALITI... (no.2 nina tuhuma za usaliti)
Sasa leo mbowe ni wa kumuona ben msaliti? Leo slaa wa kulikata jina la ben baraza kuu kwa usaliti? Kwa hiyo Ben na zitto wana status quo moja pale chadema....haaahaa!
Duh, ukiya shangaa ya Slaa utayaona ya Mbowe..ben amka usingizini mkuu