Ben Saanane, Kilewo na Tumaini Makene waenguliwa ujumbe Kamati Kuu

Status
Not open for further replies.
post ya henry kilewo fb hii Sijapendekezwa kugombea ujumbe wa kamati kuu, sababu hizo ni zamsingi sana ikiwamo ya mimi kuwa na majukumu makubwa ya kichama ndani ya mkoa wangu na kanda yangu .. Matokeo ya kuenguliwa kwangu nimeyapokea kwa mikono miwili... Hongereni kamati kuu, matokeo hayo yananifanya nikitumikie chama changu kwa nguvu zaidi na yamefungua ukurasa mwingine wa siasa zangu.... Hongera kamati kuu iliyojaa busara na Hekima za hali ya juu... Tunahitaji kusonga mbele kwa pamoja na hilo ndilo hitaji kuu la Watanzania.. Nakipenda chama changu na itabaki kuwa hivyo Daima...
 
Wewe mtu nimekuona mara kadha wa kadha ukiwatukana wachaga na dini zingine ambazo sio uislam. I should tell you kila mtu anaona kuwa wachaga wanakuumiza sana wewe bibi. Vumilia tu lakini kuwa mwanamke kazi sana. Kichefuchefu kikikuzidi toa tu hiyo mimba ya hao mabwana.


Kuwatukana wachaga kwa matusi gani ya kuwaambia chadema waache kuendekeza uchaga au namna gani??

Teh teh teh.


Mbona umehamaki sana.

Wewe ni mchaga wa wapi rombo au machame.

Hilo la kutukana dini zisizo uislam nalo ni geni vile vile.

Ila tunachojua ni kwamba hata waislam hawapendwi ndani ya chama hiko.

Kasirika tu na ikibid pasuka na ujinyee.

Lakin hatuachi kusema.
 
Safi sana.

Mimi hii ni kanuni yangu tokea nijiunge na JamiiForums.

Ni bora nipewe ban ya mwaka mzima kuliko kumlea mtu anayeni-Quote na kuandika upuuzi.


Ndiyo hivyo Mkuu.

Muheshimu anaekuheshimu.

Mtu akikuletea ujeuri dawa yake ni kumfanyia kiburi tuh.
 
We Benni siku zote nimekwambia unachojua ni kuhemuka...kujipendekeza na kuropoka...undani wa siasa huujui..nakwambia leo chadema wmeapa kukupotezea kwa tabia zako za kutumika ccm na moja ya kambi...Benni siasa ni zaidi ya uropokaji wako na hujui siasa unajua kuropoka.....wewe na nyerere bado sana..nyie hamuijui chadema wala mbow na slaa hamuwajui ila ninyi ni kondomu ambazo hata zikitumika hazijitambui.kutwa mnamtukana Lowwasa mkidhani mtapata heshima na umaarufu..laito mngejua siasa za Tanzania mngejuta.mmeiiharibu chadema sana na hakuna anayewataka wsla kuwaamini.jipe moyo kujifanya utapata madaraka baadae..lakini nakumbia chadema jawakutaki wsla hawakuamini

Multple ID,hizo tablet za lumumba haziishi chaji?
 
post ya henry kilewo fb hii Sijapendekezwa kugombea ujumbe wa kamati kuu, sababu hizo ni zamsingi sana ikiwamo ya mimi kuwa na majukumu makubwa ya kichama ndani ya mkoa wangu na kanda yangu .. Matokeo ya kuenguliwa kwangu nimeyapokea kwa mikono miwili... Hongereni kamati kuu, matokeo hayo yananifanya nikitumikie chama changu kwa nguvu zaidi na yamefungua ukurasa mwingine wa siasa zangu.... Hongera kamati kuu iliyojaa busara na Hekima za hali ya juu... Tunahitaji kusonga mbele kwa pamoja na hilo ndilo hitaji kuu la Watanzania.. Nakipenda chama changu na itabaki kuwa hivyo Daima...

magamba yamesahau Nape alitaka awakimbie wakaanza kujikomba kumpa vyeo,mara mkuu wa mkoa,mara nini na bla bla nyingi
chadema ni sheria na haki
 
Nadhani nilijua Ben Saanane ana maadui lakini kwa mwendo huu hawa vijana sasa ni zaidi ya maadui .......
 
Last edited by a moderator:
Saaa nane anatia huruma sana.

Hata chumba cha kulala analipiwa.

Sasa utaendelea na biashara uchwara kama hiyo ndani ya Chagadema hadi lini.

Si ulo.fa huo??


Teh teh teh.

Bora mwenzako yericko ufundi mchundo wake atleast unamuweka mbutu.

Teh teh teh.

Kwi kwii kwiii.

Ha ha ha ha.

Chaga PiiiiPooooz....
Saanane amtafute Nape sjiunge na CCM!
 
WanaJF,

Ni hatari sana kuendekeza uzushi

1:Jina langu halijapitishwa sawa na wagombea wengine na Mwenyekiti wa kikao cha Kamati Kuu na Baraza Kuu amefafanua

2:Sina tuhuma za usaliti kama maadui zetu wanavyosambaza huku.Tutawashinda !

3:Makene hakugombea

4:Safari inaendelea....Next time Mungu akipenda nitajutokeza tena kwa kasi na nafasi nyingine nzito zaidi

5:Asanteni wote mlionipigia kampeni.Ushindi ulikua dhahiri

it sounds werid comrade!!!... anyway kila la heri kaka, ila amini wewe ni mtu makini sasa na una weza.
 
Katika hali ambayo hawakuitarajia kutokana na Tabia zao hawa vijana za kuwalamba miguu vigogo wa kuu wa KUDUMU wa chadema, leo vijana hawa wameenguliwa kutoka katika kinyang'anyiro cha kugombea ujumbe wa kamati kuu ya chama.
Ben Saanane kijana aliyejipatia umaarufu kupitia mgongo wa zitto kabwe, alianza kunukiwa na bundi la kutokukubalika toka 2009 alipogombea uenyekiti bavicha na kutolewa, mwaka 2014 baada ya kubuni mkakati wa kujisogeza karibu na wakubwa ambao ni viongozi wa KuDUMU pale chadema, bado jina lake liliondolewa kwa mizengwe.

Mpiganaji huyu hakuishia hapo aliamua kujitosa ktk kutafuta ujumbe kamati kuu, huku akijitapa kua atawabwaga akina prof. Baregu, lakini kumbe mbio za sakafuni huishia ukingoni, na kua ngoma ya watoto haikeshi. Ben ametolewa leo kwa kukosa sifa ya kugombea. Kijana huyu ambaye hujinadi kwa kua MAKINI na mfuata taratibu na kanuni, lakini mara zote 3 ametoswa kwa kutofuata kanuni,katiba za uchaguzi.

Habari za ndani zibadai kua Ben ni double agent kwa chadema na kundi moja ya mgombea wa ccm, ambaye ni waziri na mbunge kutoka mikoa ya kusini. Hivyo ni vigumu kuaminika kwa wakuu wa ufipa.

kilewo ambaye ni kijana-mzee ambaye jina lake lilianza kupata umaarufu kutokana na kufanya tukio la kigaidi kumwagia tindikali Mussa Tesha, kitu ambacho kilimpelekea kushitakiwa na Jamhuri leo nae ameenguliwa katika nafasi ya ugombea.

Kilewo huyu ambae umaarufu wake ukiacha tukio hilo la ugaidi, pia amefalifamika zaidi baada ya kubuni mradi wa kitapeli uliokuja kupigwa marufuku na serikali wa TelexFree. Leo hii hana chake mitaa ya ufipa.

Tumaini Makene afisa habari anayejituma kufafanua mambo mitandaoni hasa yahusuyu chadema, au mbowe na dr slaa, leo ametoswa pia.

Ndo maana leo kwa hasira na kisirani hajaandika hata kuhusu updates za mkutano wa baraza kuu kama ilivyo kua kawaida yake


Poleni sana vijana msikate tamaa hii ndo chadema, na siku mkimjua M2 ndo mtapona

Aluta continua, ascertera vista...

Sijapendekezwa kugombea ujumbe wa kamati kuu, sababu hizo ni zamsingi sana ikiwamo ya mimi kuwa na majukumu makubwa ya kichama ndani ya mkoa wangu na kanda yangu .. Matokeo ya kuenguliwa kwangu nimeyapokea kwa mikono miwili... Hongereni kamati kuu, matokeo hayo yananifanya nikitumikie chama changu kwa nguvu zaidi na yamefungua ukurasa mwingine wa siasa zangu....

Hongera kamati kuu iliyojaa busara na Hekima za hali ya juu... Tunahitaji kusonga mbele kwa pamoja na hilo ndilo hitaji kuu la Watanzania..

Nakipenda chama changu na itabaki kuwa hivyo Daima....
 
Last edited by a moderator:
Poleni sana makamanda,kwa Ben na Kilewo haishangazi ila kwa makene imenishangaza
 
Sijapendekezwa kugombea ujumbe wa kamati kuu, sababu hizo ni zamsingi sana ikiwamo ya mimi kuwa na majukumu makubwa ya kichama ndani ya mkoa wangu na kanda yangu .. Matokeo ya kuenguliwa kwangu nimeyapokea kwa mikono miwili... Hongereni kamati kuu, matokeo hayo yananifanya nikitumikie chama changu kwa nguvu zaidi na yamefungua ukurasa mwingine wa siasa zangu....

Hongera kamati kuu iliyojaa busara na Hekima za hali ya juu... Tunahitaji kusonga mbele kwa pamoja na hilo ndilo hitaji kuu la Watanzania..

Nakipenda chama changu na itabaki kuwa hivyo Daima....
Ha ha ha !!!
maneno ya mkosaji
Hongera kamati kuu!!!
 
Siasa za CHADEMA afadhali kumbe CCM ambao ni "Zimwi likujualo halikuli likakwisha"!!

Zitto katuhumiwa usaliti kafukuzwa lkn Ben Saanane anatuhumiwa usaliti lkn adhabu yake ni kutompitisha kugombea!


Is this not a double stabdard?Mnawapa tu maneno Lumumba kuwa Ben hawezi fukuzwa sababu ni Mangi nwenzao
 
Hata wanaoitwa wanasheria wa TZ mnatoa comments kama hizi. Ama kweli.............
Hao ndio wanasheria wanaotunga sheria halafu wanatumia hekima na kujuana kuongoza. We hujasikia saga la escrow kuwa Lukuv nae kinara?
 
Siasa za CHADEMA afadhali kumbe CCM ambao ni "Zimwi likujualo halikuli likakwisha"!!

Zitto katuhumiwa usaliti kafukuzwa lkn Ben Saanane anatuhumiwa usaliti lkn adhabu yake ni kutompitisha kugombea!


Is this not a double stabdard?Mnawapa tu maneno Lumumba kuwa Ben hawezi fukuzwa sababu ni Mangi nwenzao

Watu mnajua fitna duh
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom