Ben Saanane, Kilewo na Tumaini Makene waenguliwa ujumbe Kamati Kuu

Status
Not open for further replies.
BEN,
Unakumbuka juzi uzi wangu nilikuambia nini? usipende kujidanganya kuwa huna tuhuma za usaliti. unazo. nikukumbushe kilichopelekewa ukatolewa uchaguzi wa bavicha 2011.
usisahau shughuli zako na masalia,walio chadema na waliohama, pinduo mbowe group, akaunti ya tuntemeke, na kutukana viongozi wa chama.
ulipewa adhabu na kupokonywa vyeo bavicha. unamdanganya nani? nilikwambia juzi kuwa labda upate ujumbe wa kamati kuu ya CHAPUTO.(Chama cha wapiga punyeto tanzania)

He! Chaputo tena?
 
Mimi kidogo napata shida sana kuwaelewa GT wa Jukwaa hili au pengine ni ujinga tu unatusumbua nadhani.

Kwani ilikuwa ni lazima Ben Sanane au Kilewao au Tumaini Makene? Kwani ndiyo walikuwa wagombea pekee kiasi ambacho ilikuwa ni lazima tu wapite na sasa wameshindwa hawana sifa na nafasi zimebaki tupu?

Kwa nini tusiwape pongezi walioshinda kwa sababu likely ndiyo waliostahili na nafasi haziwezi kuwa zaidi ya idadi ya wagombea?

Mimi nawapongeza CHADEMA kwa sababu kama inatokea tuliodhani kuwa watashika nyadhifa katika chama kwa sababu tu tunawafahamu hapa au kule na matokeo yake wanashinda wengine tu, basi ni ishara kuwa Chama kinakua na kuimarika tofauti na inavyodhaniwa na wapinzani wao!!

Hongereni pia mlioshindwa na kukubali matokeo (japo mengine yanakuzwa tu humu kwani Tumaini Makene hakugombea) kwa sababu ktk kushindana lazima atokee wa kushinda na aliyeshindwa hata kama ingekuwa mgombea ni mmoja tu na kutakiwa kuandika HAPANA au NDIYO!!

mkuu akina ben na kilewo hawakushindwa kwa ballot box, ingekuwa hivyo issue ingekua straight tu kwamba wapiga kura hawakuzielewa sera zao. Ila ni kua hawa vijana WAMETOLEWA kabla ya majina kufikishwa kwa wajumbe kupigiwa kura, na sababu ni kama alivo eleza ben mwenyewe " USALITI"

Kwa maana ingine hawafai kuaminiwa. Mfano ben ana ndoto ya kugombea ubunge mwakani huko Kilimanjaro, sasa atawaambia nini wananchi kama hata chama chake haki mwamini na kumwona msaliti? Kilewo huko mwanga atawaambia nini 2015 ili wa muamiini?
Usichukulie ni jambo dogo lina impact kubwa kwenye political future yao.

Sasa wewe unakurupuka tu mkuu
 
BEN,
Unakumbuka juzi uzi wangu nilikuambia nini? usipende kujidanganya kuwa huna tuhuma za usaliti. unazo. nikukumbushe kilichopelekewa ukatolewa uchaguzi wa bavicha 2011.
usisahau shughuli zako na masalia,walio chadema na waliohama, pinduo mbowe group, akaunti ya tuntemeke, na kutukana viongozi wa chama.
ulipewa adhabu na kupokonywa vyeo bavicha. unamdanganya nani? nilikwambia juzi kuwa labda upate ujumbe wa kamati kuu ya CHAPUTO.(Chama cha wapiga punyeto tanzania)

CHAPUTO ishafanya uchaguzi jina lake lilienguliwa kabla ya uchaguzi teh teh
 
BEN,
Unakumbuka juzi uzi wangu nilikuambia nini? usipende kujidanganya kuwa huna tuhuma za usaliti. unazo. nikukumbushe kilichopelekewa ukatolewa uchaguzi wa bavicha 2011.
usisahau shughuli zako na masalia,walio chadema na waliohama, pinduo mbowe group, akaunti ya tuntemeke, na kutukana viongozi wa chama.
ulipewa adhabu na kupokonywa vyeo bavicha. unamdanganya nani? nilikwambia juzi kuwa labda upate ujumbe wa kamati kuu ya CHAPUTO.(Chama cha wapiga punyeto tanzania)


Ebwanaeee...!!


Hiii kali sana.

Chaputo Mpya hii....

Teh teh teh.

Magwanda yanaruka na kukanyagana.

Ha ha ha...
 
Sasa tatizo liko wapi.

Humu JF kuna sheria.

Tunajadiliana kwa staha bila matusi na kuheshimiana.

Kila mtu matusi anayajua na ubaya wake unafahamika.

Huyo Dada anaeitwa Kaunga bila kosa lolote kanitukana Tusi baya kabisa.

Namimi huwa sina mazoea kabisa hata ya kujadili na wanawake...nawaheshimu.

Kavuka mipaka juu yangu namimi nimemrejeshea anachostahiki.

Mimi nikikuita wewe ni m.seng.e bila kosa lolote nawewe ukaninita mimi the same huna kosa.

Hapo umelipa kisasi na ni haki yako.

Mlevi akikutukana kilabuni na wewe mrudishie hapo hapo.

Kesho yake hakawiii kusema ...oooh samahani nilikuwa nimelewa...nani anataka ujinga huo.

Inshort mimi nakujibu jins unavyopaswa kujibiwa.

Usitarajie eti ukiniletea ufedhuri mimi nitakimbilia kwa mods kwenda kushitaki.

Mimi nakuletea ufedhuri zaid yako kisha ukashitaki kwa mods.

Wewe zaidi ya kutukana wachaga kila siku iitwayo leo kuna jambo lingine unafanya. MNAFIQ Mkubwa sana wewe bwana and the likes!
 
Kilewo alimfitini saana Zito Pia huyu Kilewo ndiye Mchora picha lote lililompeleka chacha wangwe ahera, huyo ni kijana Mzee ni Mtu hatari sana ! ana undugu wa karibu sana na Mbowe,lema,Mnyika na mdee,Ukiona Mbowe kamtosa basi ujue kuna kitu chini ya kapeti kafanya ! ama kamzidi speed Mbowe au katoa Siri za ndani hadi mbowe kapagawa ! au Pia ufisadi wa ndani ya chama nao unamhusu Kilewo , Damu ya Chacha wangwe mwaka huu itawaumbua wengi sana.
 
BEN,
Unakumbuka juzi uzi wangu nilikuambia nini? usipende kujidanganya kuwa huna tuhuma za usaliti. unazo. nikukumbushe kilichopelekewa ukatolewa uchaguzi wa bavicha 2011.
usisahau shughuli zako na masalia,walio chadema na waliohama, pinduo mbowe group, akaunti ya tuntemeke, na kutukana viongozi wa chama.
ulipewa adhabu na kupokonywa vyeo bavicha. unamdanganya nani? nilikwambia juzi kuwa labda upate ujumbe wa kamati kuu ya CHAPUTO.(Chama cha wapiga punyeto tanzania)

Wewe na Ben wote ni wasaka tonge kupitia siasa.Sasa mazishi yenu yamekaribia,miti yote inateleza,bora urudi kwenu bukoba pale Kagera sugar unaweza kupata kazi ya kupalamiwa kwa masaa 12.
 
Wewe zaidi ya kutukana wachaga kila siku iitwayo leo kuna jambo lingine unafanya. MNAFIQ Mkubwa sana wewe bwana and the likes!
Mchaga gani niliemtukana??

Kuwaambia chadema waache kuendekeza uchaga na udini ndani ya chama chao ni kuwatukana wachaga??

Kama inawaumiza basi muache hulka hiyo.
 
WanaJF,

Ni hatari sana kuendekeza uzushi

1:Jina langu halijapitishwa sawa na wagombea wengine na Mwenyekiti wa kikao cha Kamati Kuu na Baraza Kuu amefafanua

2:Sina tuhuma za usaliti

3:Makene hakugombea

4:Safari inaendelea....Next time Mungu akipenda nitajutokeza tena kwa kasi na nafasi nyingine nzito zaidi

5:Asanteni wote mlionipigia kampeni.Ushindi ulikua dhahiri
We Benni siku zote nimekwambia unachojua ni kuhemuka...kujipendekeza na kuropoka...undani wa siasa huujui..nakwambia leo chadema wmeapa kukupotezea kwa tabia zako za kutumika ccm na moja ya kambi...Benni siasa ni zaidi ya uropokaji wako na hujui siasa unajua kuropoka.....wewe na nyerere bado sana..nyie hamuijui chadema wala mbow na slaa hamuwajui ila ninyi ni kondomu ambazo hata zikitumika hazijitambui.kutwa mnamtukana Lowwasa mkidhani mtapata heshima na umaarufu..laito mngejua siasa za Tanzania mngejuta.mmeiiharibu chadema sana na hakuna anayewataka wsla kuwaamini.jipe moyo kujifanya utapata madaraka baadae..lakini nakumbia chadema jawakutaki wsla hawakuamini
 
R.I.P chacha wangwe; Mzimu wa Chacha wangwe sasa upo imara umesimama pale makao makuu ya Chadema kinondoni ,wale wote walioshiriki kwa kumrejesha Ahera sasa wanaanza kuumbuka mmoja baada ya mwingine.
 
Kilewo alimfitini saana Zito Pia huyu Kilewo ndiye Mchora picha lote lililompeleka chacha wangwe ahera, huyo ni kijana Mzee ni Mtu hatari sana ! ana undugu wa karibu sana na Mbowe,lema,Mnyika na mdee,Ukiona Mbowe kamtosa basi ujue kuna kitu chini ya kapeti kafanya ! ama kamzidi speed Mbowe au katoa Siri za ndani hadi mbowe kapagawa ! au Pia ufisadi wa ndani ya chama nao unamhusu Kilewo , Damu ya Chacha wangwe mwaka huu itawaumbua wengi sana.

Mke wa kilewo alimpinga mbowe na kusema hafai kua kiongozi wa umma wakati anashindwa kumheshimu mkewe wa ndoa.

Refers to Dubai,Mbowe na Joyce Mukya scandal.

Sasa kilewo ana suffer consequence za mkewe. Chezea mbowe wewe
 
We Benni siku zote nimekwambia unachojua ni kuhemuka...kujipendekeza na kuropoka...undani wa siasa huujui..nakwambia leo chadema wmeapa kukupotezea kwa tabia zako za kutumika ccm na moja ya kambi...Benni siasa ni zaidi ya uropokaji wako na hujui siasa unajua kuropoka.....wewe na nyerere bado sana..nyie hamuijui chadema wala mbow na slaa hamuwajui ila ninyi ni kondomu ambazo hata zikitumika hazijitambui.kutwa mnamtukana Lowwasa mkidhani mtapata heshima na umaarufu..laito mngejua siasa za Tanzania mngejuta.mmeiiharibu chadema sana na hakuna anayewataka wsla kuwaamini.jipe moyo kujifanya utapata madaraka baadae..lakini nakumbia chadema jawakutaki wsla hawakuamini

leo hii wameapa kumpoteza HAKIKA karma is bitch......
 
Mchaga gani niliemtukana??

Kuwaambia chadema waache kuendekeza uchaga na udini ndani ya chama chao ni kuwatukana wachaga??

Kama inawaumiza basi muache hulka hiyo.

Wewe mtu nimekuona mara kadha wa kadha ukiwatukana wachaga na dini zingine ambazo sio uislam. I should tell you kila mtu anaona kuwa wachaga wanakuumiza sana wewe bibi. Vumilia tu lakini kuwa mwanamke kazi sana. Kichefuchefu kikikuzidi toa tu hiyo mimba ya hao mabwana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom