BEN,
Unakumbuka juzi uzi wangu nilikuambia nini? usipende kujidanganya kuwa huna tuhuma za usaliti. unazo. nikukumbushe kilichopelekewa ukatolewa uchaguzi wa bavicha 2011.
usisahau shughuli zako na masalia,walio chadema na waliohama, pinduo mbowe group, akaunti ya tuntemeke, na kutukana viongozi wa chama.
ulipewa adhabu na kupokonywa vyeo bavicha. unamdanganya nani? nilikwambia juzi kuwa labda upate ujumbe wa kamati kuu ya CHAPUTO.(Chama cha wapiga punyeto tanzania)
He! Chaputo tena?