Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

Mbona Bwana harusi ni mrembo kuliko Bibi harusi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii dunia ni zaidi ya uijuavyo ndugu yangu; na ndio maana Waswahili wakasema, "ukiona njigi utadhani njege na ukiona njege utadhani njigi" na wengine wakasema, "vyote ving'avyo, usidhani dhahabu"! Kwa maana hiyo ndugu yangu isije yule unayedhani mume kumbe akawa ndie mke na yule unayedhani mke kumbe ndie mume mwenyewe; kwani dildo shi'ngi ngapi bhana!!!
 
Kama huna pesa hupati fursa ya kuchagua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…