flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,342
Siku zinavyozidi kwenda ndio vituko vinazidi kuongezeka chini yajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kweli picha ukiangalia vizuri kaweka nguo kifuani hazijakaa vizuriJmn huyo sio dume kweli??? maana hata kifuani panaonekana tu kunamanguo yamewekwa huyo dume bwana mwangalien vzuri
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Yani gauni sijui nani alimchagulia,natamani nione kiatu alichovaaMh hiyo gauni ya bi harusi ni hapana kwakweli. Pengine ni muvi
Be Humble is free of charge
kwa nini
Baada ya kuangalia vizuri bibi harusi nikaelewa mana yakoKweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Yani gauni sijui nani alimchagulia,natamani nione kiatu alichovaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah imebidi nicheke tu maana ndio wazo limenijia kichwaniKweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"