wamaukweli
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 1,084
- 1,275
Kwa mkuu wa wilaya ya Ilala hapo haiwezi kuwa movieMh hiyo gauni ya bi harusi ni hapana kwakweli. Pengine ni muvi
Be Humble is free of charge
Mmh!
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Heee!!! zote hizo zinamhusu?Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Tatizo ni pale moyo wako unapopingana na kile ulichokiandika....nimeandika tuUzuri wa mtu anaujua muoaji au muolewaji;sisi wengine ni kuwatakia heri tu.
ha ha ha ha,haya mambo ya uzuri na ubaya huwa hayaeleweki,mwingine anaweza kusema yeye ni mzuri ila kwa wengine wakamuona yeye ni kituko tu.Tatizo ni pale moyo wako unapopingana na kile ulichokiandika....nimeandika tu
"heart broken"
Natamani nijue opinion yako ya ukweli ukweli kabisa, kutoka moyoni mwako yaani...achana na hivi ulivoandika, natamani sijui kwanini...ha ha ha ha,haya mambo ya uzuri na ubaya huwa hayaeleweki,mwingine anaweza kusema yeye ni mzuri ila kwa wengine wakamuona yeye ni kituko tu.
Angalia nafsi yako inataka nini,kwa sababu uolei majirani,dunia,ndugu au rafiki zako;bali unaoa mke wako.Natamani nijue opinion yako ya ukweli ukweli kabisa, kutoka moyoni mwako yaani...achana na hivi ulivoandika, natamani sijui kwanini...
"heart broken"
Ndio kabisa. Cha muhimu upendo.Angalia nafsi yako inataka nini,kwa sababu uolei majirani,dunia,ndugu au rafiki zako;bali unaoa mke wako.