Bellon D'Or nani kushinda?

Blatter na Platini wanafikiri eti wanamkomoa Pele, kumbe wanaharibu kandanda.
Kwa mimi tuzo hii ya 2011 angepata mtaalam Xavi, na mwaka 2010 angalau Sneijder angekuwemo kwenye tatu bora kama si kuchukua tuzo kabisa.
Sasa haihitaji kuwa mtabiri kujua kuwa tuzo ya 2012 anatafutwa mtu wa kujaza nafasi ya tatu kwani Messi na Ronaldo wanajaza hizo zao mbili za 1 na 2...
Miaka ya nyuma Jenerali Ulimwengu(alipopewa uenyekiti wa BMT) alipata kusema FIFA ni genge la wahuni. 2010 Sneijder alitakiwa apate. G Milito hakuingia hata kwenye fifPRO XI. Nafikiri hii tuzo sasa imekuwa biashara, maana jana kuna jamaa mmoja naye alipanda muda De Lima anatoa tuzo ambaye ni mwakilishi wa kampuni fulani, lakini si mtu wa soka, sijui kwanini alipanda. Hapa naona kuna mambo ya Nike Addidas yanaendelezwa.
 
nilisha acha kufuatilia huo uharo kitambo mno...
Tangu walipomnyima Sneijder na kumpa huyo Nessi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom