Belle9 kaja na Love Potion

Kuna nyimbo zake 3 za mwanzo huwa nikiamua kuzisikiliza hazinichoshi - Masogange, Sumu ya Penzi, Unanifaa.

Dogo yuko vizuri sana.
Bila shaka atakuwa kajipanga sasa.
 
Kipaji anacho tatizo management mbovu kule WCB wako vizuri wamejipanga kisasa zaidi na kufikisha mziki mbele.
Nimesikia ana management mpya sasa hivi pengine ndio maana tunamsikia sikia. Kudhaminiwa na kampuni kubwa si mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…