Belief in witchcraft is highest in Tanzania with 93%! - BBC

Belief in witchcraft is highest in Tanzania with 93%! - BBC

Oyaa kimkia hicho......................., bahati mbaya kwako I am not frm Mwambasa..................... adios!!!!!!!!!!!!!!!!

Bwa ha ha..of course mtu akizidiwa na moto wa jikoni , hutafuta mlango ulipo...LMFAO.
 
Sad... and we are surprised we still poor besides all our natural wealth.

10 things we have learnt about Africa

5. Belief in witchcraft is also common - about 40%; a similar percentage also visit traditional healers to cure sickness. Belief in witchcraft is highest in Tanzania with 93% - this is the country where witchdoctors say that magic potions are more effective if they contain body parts of people with albinism. Ethiopia had the lowest levels of belief in witchcraft - at just 17%. Belief that juju or sacred objects can prevent bad things happening was generally lower - between 20 and 30%. In Senegal, however, 75% thought such things worked - far higher than in Tanzania (49%). It may come as a surprise to learn that South Africa had the highest number of people - 52% - saying they took part in ceremonies of traditional religions, or honoured or celebrated their ancestors.

http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/8620249.stm

This is obviously a STUPID research, done by STUPID researchers, for a STUPID audience!!
It is only a stupid mind that will believe that out of 100 Tanzanians , 97 people are black magicians, sorcerers, vodoo believers and outright witches.
Believing in such thesises and going on to research as such, is an assault on ones intellect.
Alpha, your researches can as well tell us how many men prefer to be married by men in Europe/America for that matter.

Will you ask BBC to perform a more relevant research on how Europe/America underdevelope Africa and the rest of the third world?
The 10 points that you seem to cheer are simply symptoms of underdevelopment and poverty enhanced by years of pre and post colonial economic domination.

WAKE UP ALPHA!!
 
Siku zote nimeamini kuwa
watanzania sisi ni washirikina pengine kuliko
taifa lolote africa.
This report proves me right.
 
Bwa ha ha..sielewi unataka kuwatetea nini hapa. Sentensi nilokuwa naielezea ni hapa ni hii.



Hii nayo ni hasty generalization, na kauli ya watu wanaofanya research based on hearsay au kusoma magazeti tena ya online. Na watu superficial kaa wewe find it faultless. Sasa nasikia hata uvivu kuendelea kujibu post za mtu mwenye upeo mdogo kaa wewe. Kauli kaa hiyo sio tu ni kama imetolewa kutoka 'juu ya rooftop', bali pia inaassume viungo vya maalbino vipo vinatumiwa na kila mganga wa uchawi. Hii ina serious repurcussions kwamba kila mganga wa uchawi Tz ni mkosaji kwa kushiriki uuaji wa maalbino kwa namna moja au nyhingine. Sasa it occurs kwenye akili yangu kwamba serikali haina sheria kuhusu uchawi. ..probably kutokana na kutosikiza maelezo ya watu wajinga kaa hao walioleta hiyo article.

and for the record, if it might come as a consolation to you, may be, huezi ukanifundisha chochote kuhusu research, all of my four degrees I have been doing research, theses, writing reports and presenting papers. Sasa kaa unacho chochote cha kufundisha wafundishe watoto wako na mkeo.

of coz labda na wewe ni mganga,ndio utakuja kupinga na kueleza vingine...

umefikiria ugumu wa reseach kama hii ya mambo ya vodoo....unadhania ni simple kama kuchukua sample na kuipeleka kny maabara na kuifanyia uchunguzi???yes,assumptions zinaruhusiwa kny issue kama hizi...what you see on media ...is what really happening! and people can make conclusion based on that alone!!!....
 
of coz labda na wewe ni mganga,ndio utakuja kupinga na kueleza vingine...

umefikiria ugumu wa reseach kama hii ya mambo ya vodoo....unadhania ni simple kama kuchukua sample na kuipeleka kny maabara na kuifanyia uchunguzi???yes,assumptions zinaruhusiwa kny issue kama hizi...what you see on media ...is what really happening! and people can make conclusion based on that alone!!!....

Sasa mtu kaa wewe hata nikikujibu ni kupoteza nishati na muda wangu tu..
 
Br. Gwakisa 'research' kaa hizo za watu wanazozifanya wakiwa likizo, ndio wanazitaka watu kaa akina Nyambala na Fab. they find it faultless..
 
Sasa mtu kaa wewe hata nikikujibu ni kupoteza nishati na muda wangu tu..

sio wewe uliyesema km kumtishia kamtishie mkeo huko nyumbani na watoto wako,ukileta hoja hapa ni maweee tu,yamekupata eeeh...huna la kujibu naona...by the way sishtuki na style ya ngebe zako!
 
sio wewe uliyesema km kumtishia kamtishie mkeo huko nyumbani na watoto wako,ukileta hoja hapa ni maweee tu,yamekupata eeeh...huna la kujibu naona...by the way sishtuki na style ya ngebe zako!
Sasa ulidhania ukitumia ID nyingine tutashindwa kukutambua c.h.o.k.o.maji NYAMBALA?

Yaani huu upupu hapo ndio unaita mawe? Kwamba kila mganga wa uchawi hutumia viungo vy albino? Kama haya ndio mawe nna wasiwasi na hao watoto wako na mkeo wapo ktk hali gani.
 
This is obviously a STUPID research, done by STUPID researchers, for a STUPID audience!!
It is only a stupid mind that will believe that out of 100 Tanzanians , 97 people are black magicians, sorcerers, vodoo believers and outright witches.
Believing in such thesises and going on to research as such, is an assault on ones intellect.
Alpha, your researches can as well tell us how many men prefer to be married by men in Europe/America for that matter.

Will you ask BBC to perform a more relevant research on how Europe/America underdevelope Africa and the rest of the third world?
The 10 points that you seem to cheer are simply symptoms of underdevelopment and poverty enhanced by years of pre and post colonial economic domination.

WAKE UP ALPHA!!

na wewe what?????just because gay marriages are common in Europe then theres no witchcraft in Tz....whats your point man?
 
Sasa ulidhania ukitumia ID nyingine tutashindwa kukutambua c.h.o.k.o.maji NYAMBALA?

Yaani huu upupu hapo ndio unaita mawe? Kwamba kila mganga wa uchawi hutumia viungo vy albino? Kama haya ndio mawe nna wasiwasi na hao watoto wako na mkeo wapo ktk hali gani.

mie sio huyo Nyambala sawa??na hata km ningekuwa ndie,kwani wewe tatizo lako nini?
ktk watu wanaoandika upupu kny hii topik wewe ni nambari moja,uta draw vipi conclusion kuwa kila mganga wa uchawi hatumii viungo vya albino?wewe as researcher uliyefanya research nyiiingi tu ndio utueleze hapa...utafanyaje kufikia conclusion hii?onyo ukiendelea na matusi nitakufungulia yangu pia!hakuna asiyejua matusi hapa
 
mie sio huyo Nyambala sawa??na hata km ningekuwa ndie,kwani wewe tatizo lako nini?
ktk watu wanaoandika upupu kny hii topik wewe ni nambari moja,uta draw vipi conclusion kuwa kila mganga wa uchawi hatumii viungo vya albino?wewe as researcher uliyefanya research nyiiingi tu ndio utueleze hapa...utafanyaje kufikia conclusion hii?onyo ukiendelea na matusi nitakufungulia yangu pia!hakuna asiyejua matusi hapa
Jibu ni rahisi tu, kama kila mganga wa uchawi angekuwa anatumia viungo vya albino, mauaji ya albino tungeyasikia tangia miongo kadhaa ilopita..na ingekuwa rampant zaidi. as simple as that..huhitaji kuwa rocket scientist kuelewa hili.

BTW, sijali kuwa wewe ni ch.k maji Nyambala au mwingine, mie kazi yangu ni kurusha mawe tu.
 
Jibu ni rahisi tu, kama kila mganga wa uchawi angekuwa anatumia viungo vya albino, mauaji ya albino tungeyasikia tangia miongo kadhaa ilopita..na ingekuwa rampant zaidi. as simple as that..huhitaji kuwa rocket scientist kuelewa hili.

BTW, sijali kuwa wewe ni ch.k maji Nyambala au mwingine, mie kazi yangu ni kurusha mawe tu.

rusha,tukurushie....

kwa nini hio biashara ya albino iko common kwa miji kama Mwanza ambayo inajulikana kwa imani za kishirikina?
 
rusha,tukurushie....

kwa nini hio biashara ya albino iko common kwa miji kama Mwanza ambayo inajulikana kwa imani za kishirikina?

Sasa unaeka assumptions zako halafu unasubiri nikujibu? hivi wa wapi wewe?
 
Sasa unaeka assumptions zako halafu unasubiri nikujibu? hivi wa wapi wewe?

ndio nafanya research hivyooo....

kwani ukinijibu utapungukiwa na nini???

eti kwa vile miongo iliyopita kulikuwa hakuna biashara ya albino then waganga wa uchawi hawatumiii viungo vya albino,na hili ndio jibu angetoa huyu mtu anayejitapa hapa kafanya research nyiiiiingi hapa....unawaambia watu wasikupotezee muda ni wewe usitupotezee muda/usituyeyushe hapa...lala mbele! he he heeeeee
 
ndio nafanya research hivyooo....


kwani ukinijibu utapungukiwa na nini???
Swali ni kwamba kwanini nikujibu wakati unaelekea nje ya mada.Yaani unataka nianze kujadili assumptions zako? how pathetic.

eti kwa vile miongo iliyopita kulikuwa hakuna biashara ya albino then waganga wa uchawi hawatumiii viungo vya albino,na hili ndio jibu angetoa huyu mtu anayejitapa hapa kafanya research nyiiiiingi hapa....unawaambia watu wasikupotezee muda ni wewe usitupotezee muda/usituyeyushe hapa...lala mbele! he he heeeeee

Kufanya research nyingi inaonekana kunakuuma sana moyoni..kua dogo. Ndo maana nilishasema kukujibu itakuwa ni kupoteza muda na nishati. Kakojoe ukalale.
 
Swali ni kwamba kwanini nikujibu wakati unaelekea nje ya mada.Yaani unataka nianze kujadili assumptions zako? how pathetic.



Kufanya research nyingi inaonekana kunakuuma sana moyoni..kua dogo. Ndo maana nilishasema kukujibu itakuwa ni kupoteza muda na nishati. Kakojoe ukalale.

wewe ndio ukakojoe ukalale!
nje ya mada???angalia posti zako ulivyojibu watu humu ndio utajua ulivyotoka nje ya mada!
una mbwembwe nyiingi mtu akikupiga viswali kidogo tu unaanza kuremba hapa,nikuonee wivu kisa umefanya research nyingi?ha!zinaniongezea nini mie?by the way..mtu akisoma mtiririko wa majibu yako atajua hizo research ni za kiwango gani,again lala mbele usituyeyushe na ngebe zako!
 
wewe ndio ukakojoe ukalale!
nje ya mada???angalia posti zako ulivyojibu watu humu ndio utajua ulivyotoka nje ya mada!
una mbwembwe nyiingi mtu akikupiga viswali kidogo tu unaanza kuremba hapa,nikuonee wivu kisa umefanya research nyingi?ha!zinaniongezea nini mie?by the way..mtu akisoma mtiririko wa majibu yako atajua hizo research ni za kiwango gani,again lala mbele usituyeyushe na ngebe zako!

Kwanza research zangu zinaingiaje kwenye huu mjadala in the first place..? Unavoendelea kutolea maelezo vitu ambavo huvijui na wala havina mahusiano na mada unazidi kudisplay ulivo na iq ya kuku, shallow, narrow minded zombie. Unalazimisha nikujibu maswali yako ya kihanithi, uliniajiri?
 
Kwanza research zangu zinaingiaje kwenye huu mjadala in the first place..? Unavoendelea kutolea maelezo vitu ambavo huvijui na wala havina mahusiano na mada unazidi kudisplay ulivo na iq ya kuku, shallow, narrow minded zombie. Unalazimisha nikujibu maswali yako ya kihanithi, uliniajiri?

rejea pale juu nani,alikuuuliza kama umefanya reasearch??si mwenyewe kutaka kujishaua..ndio ukaingiza gia kuwa umefanya reaseach kibao???relevent na hii mada???no!,mashauzi ya jogoo tu!,iq ya kuku na unyoko mwingine ni wewe ndiye uliyonayo! hata mie hunilipi kujibu huuu...upuuzi wako sawa eeh???na nilijua tu utaishia hapa..shallow-minded fool!
 
rejea pale juu nani,alikuuuliza kama umefanya reasearch??si mwenyewe kutaka kujishaua..ndio ukaingiza gia kuwa umefanya reaseach kibao???relevent na hii mada???no!,mashauzi ya jogoo tu!,iq ya kuku na unyoko mwingine ni wewe ndiye uliyonayo! hata mie hunilipi kujibu huuu...upuuzi wako sawa eeh???na nilijua tu utaishia hapa..shallow-minded fool!

Of course post ilikuwa inajibu hoja ulioleta eti ukijitia unataka unifunze nguli kuhusu research bwah ha ha. Nikakupa kubwa mpaka dakika hii unaweweseka.
 
Back
Top Bottom