Belief in witchcraft is highest in Tanzania with 93%! - BBC

Belief in witchcraft is highest in Tanzania with 93%! - BBC

Tusi manaake nini labda tueleweshane, pili unaposema nashindwa kuadmit kwa sababu ya uoga kumuogopa nani???? na kama ni uelewa basi wewe ndiyo hujaelewa, hapa inazungumziwa Africa and the research is about there sasa kama unataka ya Asia, Australia, America work yourself up utapata tu. Mkuu unadisplay a typical Tanzanian attitude ya kutokukubali kukosolewa au kuhojiwa hata kama kuna ukweli

Naona naongea na mtoto wa chekechea hapa.


1. Tafuta kamusi utafute maana ya maneno. Usinipotezee muda.

2. Africa ni bara lenye nchi zaidi ya 51 na watu zaidi ya milioni 300. Sasa labda wewe utuambie kama Africa ina watu 25,000 na nchi 9 tu? Kushindwa kuliona hili ndio uoga wenyewe na kuwa na weak mind.

3. Mhh..nakataa kukosolewa? Nimekataa kukosolewa ktk lipi?

Naona unaanza kuchemka hapa. Punguza jazba.
 
Hili swali inabidi uulizwe wewe maana hiki ndicho kilichopo kwenye article lakini wewe ndio unajifanya kuleta mambo ya ooh Traditional healing etc. etc. ambayo haimo kwenye hii article.
Soma namba tano hapo kwenye article ..usinipotezee muda.
 
Mkuu acha jazba, na hii konklusheni unayotoa ni yako, kila mtu ana uhuru wa kuevaluate matokeo ya huu utafiti. Mimi kama mtanzania naona kuna tatizo la ushirikina nchini kwangu na ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo, huu si utafiti wa kwanza kuhusu suala hili. Sasa wewe unayeona ni matusi au kejeli kwa waafrica kalagabaho. Usilazimishe mtizamo wako kuwa universal. Pia inaonyesha kwa uelewa wako biased umeashakonkludi kwamba utafiti huu umefanywa na wazungu. What a low thinking.


Hebu nioneshe kwa utuo ni wapi nime-conclude kuwa hii article imeandikwa na mzungu.Jibu straightly, briefly and clearly.Kukwepesha itachukuliwa ni dalili ya kuwa na kichwa kigumu kilichojaa maji taka.

Of course kila mtu anaeza akapata the same experience or stimulus lakini aka-behave au ku-evaluate vile anavoona. Conclusion itoe vile unavoona na hamna mtu atakakukataza, tatizo ni kuwa conclusion inayotolewa hapa jamvini ipo open to scrutiny, kaa hutaki conclusion yako ijadiliwe jamvini, kaitoe mbele ya mke wako au watoto wako ambao najua hawawezi kuku-challenge. Hapa JF ni mawe tu na hoja inayojitosheleza ndio itakayosimama. Sio vinginevo.

Huwa naboreka sana na watu wanaokimbilia kujibu posts za wengine bila kuelewa wanacho-respond..it is reaally painful indeed kusoma posts za watu kama wewe.
Hoja yangu haikuwa kukataa hizo imani zipo au hazipo, ninachokataa ni kueka findings ktk mfumo wa hasty generalization, this kind of 'research' does not stand any chance ktk academic world.

NI UPUPU.

and it is sad kwamba kuna watu kama wewe hamuelewi ninachokiongea again and again. It is painful kujadiliana na watu kaa wewe kwa kweli.
 
Huu mtizamo wa kila jambo linachofanywa ni mtu anataka kutoka unatoa some hints kwamba wewe ni mtu wa namna gani, na sasa naanza kupata picha kwamba hufahamu nini maana ya resarch na malengo yake. This is another topic tunaweza kufungua thread nyingine ueleweshwe..

Bwa ha ha..sielewi unataka kuwatetea nini hapa. Sentensi nilokuwa naielezea ni hapa ni hii.

this is the country where witchdoctors say that magic potions are more effective if they contain body parts of people with albinism

Hii nayo ni hasty generalization, na kauli ya watu wanaofanya research based on hearsay au kusoma magazeti tena ya online. Na watu superficial kaa wewe find it faultless. Sasa nasikia hata uvivu kuendelea kujibu post za mtu mwenye upeo mdogo kaa wewe. Kauli kaa hiyo sio tu ni kama imetolewa kutoka 'juu ya rooftop', bali pia inaassume viungo vya maalbino vipo vinatumiwa na kila mganga wa uchawi. Hii ina serious repurcussions kwamba kila mganga wa uchawi Tz ni mkosaji kwa kushiriki uuaji wa maalbino kwa namna moja au nyhingine. Sasa it occurs kwenye akili yangu kwamba serikali haina sheria kuhusu uchawi. ..probably kutokana na kutosikiza maelezo ya watu wajinga kaa hao walioleta hiyo article.

and for the record, if it might come as a consolation to you, may be, huezi ukanifundisha chochote kuhusu research, all of my four degrees I have been doing research, theses, writing reports and presenting papers. Sasa kaa unacho chochote cha kufundisha wafundishe watoto wako na mkeo.
 
Du mzee ina maana huko Zambia, SA etc. hakuna albino? Why kill an albino in Tanzania and have all the hassles to transport the body parts to South Africa? South Africa ni mojawapo ya nchi ambayo inaongoza kwa uhalifu mkubwa mkubwa ikiwemo mauaji, sasa unataka kusema wanaogopa nini kuua albino mpaka wacontract watanzania????????????? . Kumbuka jazba haisaidii kama kuna ukweli we need to admit kutafuta solution na kusonga mbele. That is the name of the game

Is that how you argue..kwamba mtu mathalan muizi wa magari wa Tz, akienda kuiba Kenya ina maana magari Tz yameisha? lol

Naskia uvivu kukuelewesha maana ni wazi mazungumzo haya hayatakuwa na faida kwako wala kwangu.
 
Unfortunately the guys are telling the truth about Tanzania's belief in witchcraft. I was involved in doing a similar research early this year, and the results are similar to this ones. Unfortunately i can't say much since, the results will be presented to the govt who will make it public.
 
Brother Juma waambie hao.

Unajua the mzunguz are very clever. Kitu kikubwa walichopfanikiwa ni kutuzuia kuwa na fikra huru. Uhuru wa fikra humfanya mtu kujidharau na kuamini chochote hata kama anaona hakiko sawa hana confidence ya kukikataa.

Hata tu hiki kitendo cha kuleta habari kutoka chanzo cha Wazungu ni dalili tosha ya kufanikiwa kwao ktk kutufanya tuone mambo vile wanavotaka wao. Sadly watu wengi hapa hawajaona meseji iliojificha kwenye hiyo article, na kwa kweli binafsi hili linaniumiza zaidi kuliko hiyo article yenye majumuisho ya vijirisechi uchwara.

Na appreciate uzalendo wako...Lakini ukitaka kupendeza mtumie adui yako (sina uhakika kama nimepatia usemi huu)....Kwani ukimwambia adui yako umependeza atakutoa makosa uliyo nayo katika kupendeza kwako sasa its upon you kama wataka kupendeza zaidi sikiliza adui yako atakavyo kukosoa ukitaka kuonekana kituko mwambie mpenzi wako umependeza uone kama atakukosoa maana watu wakipenda chongo huita kengeza....

Pamoja na uzalendo huo bado mizani inalelekea uzito kwenye ukweli kuliko uwongo wa finding hizi...Basi hata kama si 90s% hata kama ni 5% je ushirikina ni kitu cha kujivunia? Au we pia wafaidika na mtaji huo wa ushirikina na waogopa kukosa wateja?
 
wewe huamini uchawi eee?!
kuamini kama uchawi upo na kuu practice na kuushabikia na kuufanya ndo maisha yako ndiko kwenye tofati
 
Of course weather the actual number is 93% is debatable. However, If you have spent anytime in TZ you would have to be blind, deaf and dumb not to realize that this is a big problem and seems to be getting worse.
 
Hebu nioneshe kwa utuo ni wapi nime-conclude kuwa hii article imeandikwa na mzungu.Jibu straightly, briefly and clearly.Kukwepesha itachukuliwa ni dalili ya kuwa na kichwa kigumu kilichojaa maji taka.

Of course kila mtu anaeza akapata the same experience or stimulus lakini aka-behave au ku-evaluate vile anavoona. Conclusion itoe vile unavoona na hamna mtu atakakukataza, tatizo ni kuwa conclusion inayotolewa hapa jamvini ipo open to scrutiny, kaa hutaki conclusion yako ijadiliwe jamvini, kaitoe mbele ya mke wako au watoto wako ambao najua hawawezi kuku-challenge. Hapa JF ni mawe tu na hoja inayojitosheleza ndio itakayosimama. Sio vinginevo.

Huwa naboreka sana na watu wanaokimbilia kujibu posts za wengine bila kuelewa wanacho-respond..it is reaally painful indeed kusoma posts za watu kama wewe.
Hoja yangu haikuwa kukataa hizo imani zipo au hazipo, ninachokataa ni kueka findings ktk mfumo wa hasty generalization, this kind of 'research' does not stand any chance ktk academic world.

NI UPUPU.

and it is sad kwamba kuna watu kama wewe hamuelewi ninachokiongea again and again. It is painful kujadiliana na watu kaa wewe kwa kweli.

Brother Juma waambie hao.

"Unajua the mzunguz are very clever. Kitu kikubwa walichopfanikiwa ni kutuzuia kuwa na fikra huru. Uhuru wa fikra humfanya mtu kujidharau na kuamini chochote hata kama anaona hakiko sawa hana confidence ya kukikataa.

Hata tu hiki kitendo cha kuleta habari kutoka chanzo cha Wazungu ni dalili tosha ya kufanikiwa kwao ktk kutufanya tuone mambo vile wanavotaka wao. Sadly watu wengi hapa hawajaona meseji iliojificha kwenye hiyo article, na kwa kweli binafsi hili linaniumiza zaidi kuliko hiyo article yenye majumuisho ya vijirisechi uchwara. "

Nadhani haya maandiko yametoka kwako.
 
Hebu nioneshe kwa utuo ni wapi nime-conclude kuwa hii article imeandikwa na mzungu.Jibu straightly, briefly and clearly.Kukwepesha itachukuliwa ni dalili ya kuwa na kichwa kigumu kilichojaa maji taka.

Of course kila mtu anaeza akapata the same experience or stimulus lakini aka-behave au ku-evaluate vile anavoona. Conclusion itoe vile unavoona na hamna mtu atakakukataza, tatizo ni kuwa conclusion inayotolewa hapa jamvini ipo open to scrutiny, kaa hutaki conclusion yako ijadiliwe jamvini, kaitoe mbele ya mke wako au watoto wako ambao najua hawawezi kuku-challenge. Hapa JF ni mawe tu na hoja inayojitosheleza ndio itakayosimama. Sio vinginevo.

Huwa naboreka sana na watu wanaokimbilia kujibu posts za wengine bila kuelewa wanacho-respond..it is reaally painful indeed kusoma posts za watu kama wewe.
Hoja yangu haikuwa kukataa hizo imani zipo au hazipo, ninachokataa ni kueka findings ktk mfumo wa hasty generalization, this kind of 'research' does not stand any chance ktk academic world.

NI UPUPU.

and it is sad kwamba kuna watu kama wewe hamuelewi ninachokiongea again and again. It is painful kujadiliana na watu kaa wewe kwa kweli.


Hii jazba si bure lazima utakuwa ****, yes in capital letters!!!!!! Maana wao ndio sikuzote hubihave namna hii just to show the public how man enough they are.
 
Kuna ile mada kule ambapo inadaiwa watu huko Songea walikuwa wanaokota mabulungutu ya fedha wakiamini ni miujiza..
 
Hii jazba si bure lazima utakuwa ****, yes in capital letters!!!!!! Maana wao ndio sikuzote hubihave namna hii just to show the public how man enough they are.

Jibu la hii post naliweka pending kusubiri response ya Mods, kaa ni matusi tu hapa UMEFIKA. nasubiria green lights.
 
Muhogo wa jang'ombe utauweza????????????? At last nimejuwa wewe ni mtu wa namna gani, na sitapoteza tena muda wangu kujadiliana na choko.

Of course matusi ndicho pekee unachokiweza..maana huezi kwenda toe-to-toe na mimi ktk ishu yeyote ya maana, na kuishia kwako njiani kwenye kukurupukia kujibu posts zangu kunadhihirisha uwezo wako duni wa kujenga hoja na kuprocess maarifa. Hata hivo kwenye idara ya matusi vilevile huniwezi, nakusare kwa sasa kwa sababu naheshimu memba wengine wanaoniheshimu.
 
Of course matusi ndicho pekee unachokiweza..maana huezi kwenda toe-to-toe na mimi ktk ishu yeyote ya maana, na kuishia kwako njiani kwenye kukurupukia kujibu posts zangu kunadhihirisha uwezo wako duni wa kujenga hoja na kuprocess maarifa. Hata hivo kwenye idara ya matusi vilevile huniwezi, nakusare kwa sasa kwa sababu naheshimu memba wengine wanaoniheshimu.

Oyaa kimkia hicho......................., bahati mbaya kwako I am not frm Mwambasa..................... adios!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom