Beki tatu wetu

Tayari ant-mshana jr ameishashusha timu yake. ...ila nafaham kuwa kazi ya Fasihi ni Kuelimisha na kuburudisha ....sasa unapomkashifu mtu na wakati yeye Kaja kuburudisha tu jukwaa unamaana gani. .??..Kila mtu anafaham kuwa siyo wa kwao huyo....nn shida kwann wewe tu. ??...
 
kuna mdada(binti mdogo) aliongozana na mtoto analia kamasi zmetapakaa nkamuuliza kwani nin humtulizi mtoto anyamaze hata kwa kumnyonyesha, akanijbu huyu hana baba na mimi sina baba dawa yake c titi ni kumpata baba! duuu!
Teh
 
kumbuka kitu kimoja wapuuzi hawajibiwi
 
Mshana umemsoma ajuza aka mjane mweusi?
eti mama yuko juu ya daraja la watembea kwa miguu na blah blah nyingine kibao...sasa sijui mitungi ya gesi inangoja nini juu ya daraja
Katika maisha kuna watu huna haja ya kujibizana nao...unachokifanya ni kuwashughulisha tuu
 
Bibi angu alikuwa akiachiwa mtoto alikuwa anamfunga hivi ili mtoto asimtoroke
 
Hata fikra yako bado ni nadharia,hata kama amedangaya haina madhara ya kuumiza yoyote,bali kufikirisha na kufanya muda uende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…