Beki tatu kamchemshia mwanangu parachichi

Beki tatu kamchemshia mwanangu parachichi

Wengi wanakuwa bado mabinti wadogo bro..

Kutiwa iwe kwa staha basi na pia sio iwe routine Kama mke wa mtu

Akitiwa mimba anatelekezwa bila msaada wowote, hapo ukute ni mimba na ukimwi.. Acha hizo basi think wider
Umesema vyema linguistics, kudos kwako.

Nadhani baadhi ya wachangiaji wa mada hii hawana uzoefu na wanachochangia. Wale mabinti wa kazi wanapokuwa pale nyumbani wanatakiwa kuwa treated kama wana familia/watoto wengine wa pale nyumbani. Sasa kama ni haki yao kutiwa mbona hao wanaoshadadia wasiruhusu pia na watoto/mabinti zao waliowazaa wakatiwe tu kila jumamosi kwani mabinti zao wao sio binadamu hawapendi kutiwa? Kwa nini wanawazuia?

Issue ya kupumzika labda jumamosi wakati mama mwenye nyumba yupo iko kibinadamu zaidi ili binti apumzike na kama kwao ni karibu basi anaweza kwenda kuwaona/kuwasalimia wazazi/ndugu zake wa damu. Siyo eti kisa yuko mapumziko basi ruksa kwenda kutiwa au kufanya ujinga mwingine wowote hule, hapana.
 
Nilipata beki tatu mpya baada ya wa mwazoni kuondoka
Kusema kweli mabeki tatu Ni changamoto huu mwaka nimekuwa na mabeki tatu wanne huyu Ni wa tano.
Wengine niliwatoa maana walikuwa wanagegedwa kuliko hata mimi.watoto wadogo ila wanapenda chini sana .sikupenda mabinti wadogo watoto wa watu waharibike maana Mimi Nina experience ya wanaume sitamani kabisa kuona binti mdogo anawekeza kwenye k.haina faida kabisa.japo sikomi natafuta mchumba mzee bado
Jana nilimuambia Dada tunda la dogo la siku Ni parachichi.kumbe alimchemshia leo dogo anaendesha tu maskini .
Watoto wetu Hawa Mungu awalinde tu maana tunawaaçha lazima tuhangaike
Kuna siku nilikuta dogo anapewa chakula kina chumvi balaa kakabwa anameza tu maskini .nilivoonja nililia yaani
Nilikuwa naponda sana watu wanaopeleka watoto wadogo boarding school ila majumbani changamoto Ni nyingi mno.


Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya siku miss,msalimie sana mtoto...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo alijichanganya,mama uwe unamwambie mwanao ukweli,hata bweni atakutana na zaidi ya hayo,haya wewe kaa kimya
 
Mimi mwaka juzi nilibadilisha 6, kuna waliokaa miezi, kuna waliokaa wiki kuna waliokaa siku chache. Na hapo tunagawana kazi na matunzo yote anapata free. Wenye watoto wadogo wanaelewa. Tena wakikupa vitoto vya kwenye poti ndio hawatakiii

Nilichoka wadada na vituko vyao nkaamua kumpeleka mtoto boarding Ila yaliyomkuta mtoto sitasahau so amerudi day.....Sasa hivi natafuta mwingine maana ya boarding yalinishinda

Mdada maziwa ya mtoto anakunywa yeye
Samaki wa kumsagia mtoto yeye ndo anakula
Diet yoyote maalumu ya mtoto yeye ndo anafaidi

Na hivi mwanangu alikuwa hajui kushtaki Ndio akapata upenyo.

Ila Sasa hivi dogo hakuna kitu haelezii angalau atashtaki
 
Nilichoka wadada na vituko vyao nkaamua kumpeleka mtoto boarding Ila yaliyomkuta mtoto sitasahau so amerudi day.....Sasa hivi natafuta mwingine maana ya boarding yalinishinda

Mdada maziwa ya mtoto anakunywa yeye
Samaki wa kumsagia mtoto yeye ndo anakula
Diet yoyote maalumu ya mtoto yeye ndo anafaidi

Na hivi mwanangu alikuwa hajui kushtaki Ndio akapata upenyo.

Ila Sasa hivi dogo hakuna kitu haelezii angalau atashtaki
Sure asilimia 100+ boarding schools siyo nzuri kwa watoto wadogo. Hata kwa wakubwa boarding bado ni changamoto. Ikiwezekana basi mtoto apelekwe boarding anapoenda form five. Walao wanakuwa wamepevuka kidogo.
 
Pole sana. Ni Changamoto kubwa Watz hatuthamini kazi wala elimu. Ndio maana utakuta binti amepata kazi ya ndani ambayo inaweza ikamtengenezea njia ya maisha yake lkn anachukulia poa, labda kwa kuwa anaweza kuishi kwa ndugu.

Na hili jambo la kutiwa, Sijui ni kwann Ila yatakuja majitu kutetea upumbavu.
Hawa ndio wamama wa kesho mtafurahi watoto wenu au nyie wenyewe kuoa mwanamke asiyevumilia kukaa bila kutiwa?

Hawa Kama wasichana wanaokua, wanapaswa kujitunza na sio majinga yanayotaka binti awe anatoka wkend kwenda kutiwa tu just kutiwa what the hell!!!

Imagine unamruhusu binti yako uliyemzaa aende kwa wahuni wakamtieee weee basi halafu arudi pumbaavu
Ni wivu tu unakusumbua.
 
Mimi mwaka juzi nilibadilisha 6, kuna waliokaa miezi, kuna waliokaa wiki kuna waliokaa siku chache. Na hapo tunagawana kazi na matunzo yote anapata free. Wenye watoto wadogo wanaelewa. Tena wakikupa vitoto vya kwenye poti ndio hawatakiii
Walikufanyia visa gani?
 
Back
Top Bottom