Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,805
- 3,119
Ruhusa ya kwenda matembezi sio kutiwa. Matembezi ni maximum two hrs kuanzia saa 10 hadi 12 kamili jioni kwa siku za J1 na J2 tu, inaweza kuwa kila wiki au juma la mwisho wa mwezi. Kumfungia msichana mwenye miaka ishirini ndani sioni kama ni sawa. Anaepaswa kuwa monitored 24 hrs ni yule ambaye ni under 18.madame umeongea kwa uchungu. Hao wanaotetea huo upuuzi hebu tuwaulize kama watoto wao huwa wanawapa ruhusa ya kwenda kutiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

