Beki 3 Noma

Beki 3 Noma

kidaganda

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
2,997
Reaction score
2,577
DADA WA KAZI ANATAKA KUONGEZEWA MSHAHARA

House girl alitaka kuongezewa mshahara, lakini mama mwenye nyumba akataka apewa sababu 3 za house girl kutaka kuongezewa mshahara:

DADA: Ninaweza kupika zaid yako.

MAMA: nani kakwambia?

DADA: kaniambia mume wako.

MAMA: sababu ya pili?

DADA: Ninapiga pasi nguo zinanyooka vizuri kuliko wewe.

MAMA: Nani kakwambia?

DADA: Mume wako.

MAMA: Sababu ya tatu?

DADA: Nakuzidi kwa utundu kitandani.

MAMA (akiwa na jazba la kumpasua): Niambie mume wangu ndo kakwambia au?

DADA: Hapana, ni dereva wako ndo aliniambia nimekuzidi kwa utundu kitandani.

MAMA: ooooh punguza sauti mwanangu nakuongezea mshahara wako tena mara mbili.

Kumbe mama naeeee jipuuuuuuuu hahahahaaaa
 
DADA WA KAZI ANATAKA KUONGEZEWA MSHAHARA

House girl alitaka kuongezewa mshahara, lakini mama mwenye nyumba akataka apewa sababu 3 za house girl kutaka kuongezewa mshahara:

DADA: Ninaweza kupika zaid yako.

MAMA: nani kakwambia?

DADA: kaniambia mume wako.

MAMA: sababu ya pili?

DADA: Ninapiga pasi nguo zinanyooka vizuri kuliko wewe.

MAMA: Nani kakwambia?

DADA: Mume wako.

MAMA: Sababu ya tatu?

DADA: Nakuzidi kwa utundu kitandani.

MAMA (akiwa na jazba la kumpasua): Niambie mume wangu ndo kakwambia au?

DADA: Hapana, ni dereva wako ndo aliniambia nimekuzidi kwa utundu kitandani.

MAMA: ooooh punguza sauti mwanangu nakuongezea mshahara wako tena mara mbili.

Kumbe mama naeeee jipuuuuuuuu hahahahaaaa
Duh! mama lazma awe mpole
 
Back
Top Bottom