Mgugu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,165
- 4,404
Mi nikajua ulemavu unaozungumziwa hapa ni ule ulemavu wa kile kiungo pendwa.Sina best, niunganishie kwa mshikaji wako hata mmoja basi [emoji13][emoji13]
Basi hapa mi sihusiki kwa kweli.
Mi nikajua ulemavu unaozungumziwa hapa ni ule ulemavu wa kile kiungo pendwa.Sina best, niunganishie kwa mshikaji wako hata mmoja basi [emoji13][emoji13]
Unaogopa nini sasaNinavyokupenda hivi kumbe naogopa bure
Mi nikajua ulemavu unaozungumziwa hapa ni ule ulemavu wa kile kiungo pendwa.
Basi hapa mi sihusiki kwa kweli.
Tunahitaji msaada wa hali na malimnahitaji msaada gani?
Hata wewe?[emoji848]serikali iingilie kati tunaumia sana
@Khwante nshasema hii thread hainihusu kwa kweli labda kama itafunguliwa thread nyingine inayohusu ulemavu ila sio hii[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kwa hiyo rafiki we ni mlemavu wa kile kiungo?
Ati nini?[emoji848]Michoyo utaijua tu...Ukiona mtu yupo single ni mchoyo wa roho.
Habari za asubuhi mume wangu kipenzi, umeamka salama?
Kho! Kho! Kho!Kwa style hii lazima unichanganye mpenzi...[emoji23][emoji23]
mi mwenyewe nashangaaHata wewe?[emoji848]
kipo wapi ?Kho! Kho! Kho!
mi mwenyewe nashangaa
Mimi napendekeza walemavu tusaidiane kwanza sisi wenyewe kwa kuoana ili wanaobaki ndio wasaidiwe na serikalikipo wapi ?
hebu tuuondoe huu ulemavu
Wewe vipi?Kwa hiyo mapadre wote walemavu..
na mimi napendekezaMimi napendekeza walemavu tusaidiane kwanza sisi wenyewe kwa kuoana ili wanaobaki ndio wasaidiwe na serikali
Unanikimbia kimbia sanaaaNingekubali ila namwogopa espy