Mimi nanunua Mlandizi maana kule ndio karibu na shamba langu. Ila hata mjini Dar bei zina range humo humoVinapatikana wapi kwa dar?
Mimi sina kiwanda. Natengeneza chakula kienyeji kwa ajili ya kuku wangu.Dar una kiwanda cha kutengeneza chakula cha kuku?