plumber hydrogen
JF-Expert Member
- Feb 17, 2022
- 741
- 1,299
OkHizo sehemu ulizozitaja hakuna viwanja, labda ununuwe Nyumba au pagala uvunje ujenge Nyumba yako.
OkHizo sehemu ulizozitaja hakuna viwanja, labda ununuwe Nyumba au pagala uvunje ujenge Nyumba yako.
Niondolee stress zako pimbi wewe, wabunge wenyewe hawajui lolote kuhusu DP, Sasa Mimi nichoshe akili yangu ya nini miye?Mtu unajiita Dr na et PhD na unacomment ivi😅 Bora Dp world iongoze nchi hii
Chapati ya 200 hata huku chaugingi haipoHakuna chapati ya 200 kimara suka. Ni sh.500 kama mjini.
Chapati sasa hivi inaanzia 300. Tangu vita ya Ukraine ngano ilipanda bei, hata wale waliokuwa wanauza Chapati mbili kwa 500 wamepandish bei na Chapati wenyewe sasa kama gazeti ni nyepesi sana.Chapati ya 200 hata huku chaugingi haipo
Huu ndo upumbavu wenyeweCCM hawapeleki maendeleo kwenye majimbo yenye upinzani na kumbuka Jimbo lilikuwa chini ya Mnyika miàka mingi
Nimeshangaa hivo viwanja vipo wapi hayo maeneo aliyotaja?Hizo sehemu ulizozitaja hakuna viwanja, labda ununuwe Nyumba au pagala uvunje ujenge Nyumba yako.
fungua duka lako uza Kwa bei ya chini kama temeke..utapiga sana Hela .fursa hyo changamkaWazee kwani huku KIMARA kupoje? Nimekuja mara kadhaa huu mwezi lakini nashangaa bei za vyakula hasa vitafunwa, yaani vile vitu huku Temeke na viunga vyake vinauzwa 100 TZS mfano andazi, mihogo ya mia huku KIMARA wanauza 200 alafu kumekaa kama sio DSM kama mkoani fulani hasa Kimara Suka.
Umenikumbusha mwaka 2015 hivi kama sikosei nilisahau kuongeza salio kwenye simu yangu nikapata safari ya ghafla kwenda kusini. Basi nilitafuta vocher ya shilingi 5,000/= kwenye maduka tangu Temeke mpaka Mbagala HAKUNA!!! Baada ya kuuliza maduka kama 10 hivi mwenye duka mmoja akaniuliza "wewe ni mgeni maeneo haya?" Nikamwambia ndiyo. Akasema vocha za bei hiyo utamuuzia nani huku??? Zilikuwepo za 500/= tu!!!Temeke ni uswahilini,
Kwahy umeamua kunitukana ,hujui kuwa nna watoto wenye umri kama wewNiondolee stress zako pimbi wewe, wabunge wenyewe hawajui lolote kuhusu DP, Sasa Mimi nichoshe akili yangu ya nini miye?
kama huoni tofauti kati ya Kimara na Temeke basi pole sana.Masaki hawezi kuanzisha uzi kwa sababu inajulikana ni ushuani, sasa kimara na Temeke kuna tofauti gani
Ile barabara ilikuwa ktk bajeti na inaitwa Kikwete High way. Pesa yake ilitoka kipindi Cha Jk 2011 kama sikosei sema viongozi walilala fund ikahamishiwa maji chumvi.Kweli mkuu swala la barabara mfano pale kimara mwisho kwenda kwa kichwa barabara ni mbaya sana ile bara bara ilipaswa kuwekwa lami kwanza ni njia fupi kuelkea uwanja wa ndege.
Ile bara bara ilitakiwa iwe na lami ikakutane na kinyerezi mwsho, ukifika pale kwa kichwa ukikunja kushoto ilitakiwa lami ikaungane na segerea kule .
Kimara ni kama aina viongozi
Watu hawajui au wanajitoa ufahamu. Chapati utakayokula uswahilini kama Temeke, na chapati utakayokula shehemu kama Kimara aliyosema na chapati utakayokula Masaki zote ni bei tofauti kwa sababu tofauti. Kuanzia ingredients zinazotumika kutengeneza chapati, namna na mazingira zinazovyokaangwa, jinsi zinavyouzwa nk ni tofauti. Mtu asikudanganye, rahisi ni hasara. Ukiona chapati inauzwa rahisi ujue kuna siri ndani yake.fungua duka lako uza Kwa bei ya chini kama temeke..utapiga sana Hela .fursa hyo changamka
Sasa ukishangaa barabara za kimara na hizi za Sinza na Mikocheni tuseme je? Mikocheni hamna barabara kabisaMkuu kwa upande wa temeke barabara za mitaani wamejitaidi sana kuweka lami ila huku kimara na milima yetu sijui lini hizi barabara za kitaa zitawekwa lami
Umenikumbusha mwaka 2015 hivi kama sikosei nilisahau kuongeza salio kwenye simu yangu nikapata safari ya ghafla kwenda kusini. Basi nilitafuta vocher ya shilingi 5,000/= kwenye maduka tangu Temeke mpaka Mbagala HAKUNA!!! Baada ya kuuliza maduka kama 10 hivi mwenye duka mmoja akaniuliza "wewe ni mgeni maeneo haya?" Nikamwambia ndiyo. Akasema vocha za bei hiyo utamuuzia nani huku??? Zilikuwepo za 500/= tu!!!
Umenikumbusha mwaka 2015 hivi kama sikosei nilisahau kuongeza salio kwenye simu yangu nikapata safari ya ghafla kwenda kusini. Basi nilitafuta vocher ya shilingi 5,000/= kwenye maduka tangu Temeke mpaka Mbagala HAKUNA!!! Baada ya kuuliza maduka kama 10 hivi mwenye duka mmoja akaniuliza "wewe ni mgeni maeneo haya?" Nikamwambia ndiyo. Akasema vocha za bei hiyo utamuuzia nani huku??? Zilikuwepo za 500/= tu!!!
Asante sanakama huoni tofauti kati ya Kimara na Temeke basi pole sana.
Ulitegemea mchaga apike mihogo akuuzie mia kweli!!
Mtoa mada akiishi mbezi Beach/Mikocheni/Mbweni si ataandika insha humu ndani.
Watu hawajui au wanajitoa ufahamu. Chapati utakayokula uswahilini kama Temeke, na chapati utakayokula shehemu kama Kimara aliyosema na chapati utakayokula Masaki zote ni bei tofauti kwa sababu tofauti. Kuanzia ingredients zinazotumika kutengeneza chapati, namna na mazingira zinazovyokaangwa, jinsi zinavyouzwa nk ni tofauti. Mtu asikudanganye, rahisi ni hasara. Ukiona chapati inauzwa rahisi ujue kuna siri ndani yake.