Bei za Ving'amuzi Azamtv

Bei za Ving'amuzi Azamtv

Kaniki Jr

New Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
4
Reaction score
0
Tuliokuwa tunasubiri kwa hamu ving'amuzi vya azam tv bei ni kama ifatavyo;Dish,king'amuzi na remote ni shilingi 95000tu pamoja na ufundi.na gharama ya kila mwezi ni shilingi 12500/=Enjoy it!
 
kuna wadau walisema king'amuzi cha azam kulipia kwa mwezi itakuwa 3,000 tu

Nadhani ilikuwa ni ktk kuwapandisha Pressure jamaa wa STAR TYM Lkn hata hivyo km Bei ndo hiyo kweli bado ni nafuu! Issue ni CHANEL gani zilizopo? au ndo kuonyesha LIGI yakiBONGO2! Mpira wa MIGUU unakuwa na Magoli km Mpira wa maGONGO mechi 1 maGOLI 6! Km watakuwa na Chanel za maana! Basi wasubiri miPESA ya waTANGANYIKA2!
 
...Swali la Channel Ngapi bado halijajibiwa. Msipende kuPost vitu Nusu Nusu. Upofahamishwa kuhusu Bei ulipaswa pia Kuuliza kuhusu idadi na aina ya Channels zilizomo..:A S 39:
 
Kama kisimbuzi chao kitakuwa na channels za maana kwa bei hiyo siyo mbaya, mtanzania wa kiwango cha kati ataimudu bila shaka!

Hofu nyangu ni kwamba kwa tsh.12500 tusitegemee sana kupata channel za maana zaidi ya hizi za FTA ambazo wanasikusanya kwa pamoja na kuturushia... Vipi hamna tetesi ya kama kitakuwa na zile channels 5 za bure, japo sheria hiyo. Haimuhusu.
 
magarama yoote ya madishi ya nini kwanza tech ya sasa ni kuharibu shoo ya nyumba kwa kuwekaweka maungo.Bado ninaamini star time ni kimbilio la wanyonge.Watakacho kifanya ni kuweka vipindi vichache vya mpira na vipindi kibao vya ile dini yetu.Tuone kama watafanya equity kwa kuweka vipindi vya ile dini nyingine
 
Vipi tulio mikoani tutfaidi?make huku morogoro stae times michosho tu na wizi.
 
Sisi tunasubiri tusikie kama wataduplicate wanachofanya Star times. Ligi ya uingereza hadi sasa iko juu, isipokuwepo hawatakuwa na tofauti na vingine vyote! Sisi tunataka kilicho bora na si bora kingamuzi. Kama Azam wameamua kutoka kivingine hapo watatupata, kinyume cha hapo "Hatudanganyiki!" Leteni channels zenu hapa tupime!
 
magarama yoote ya madishi ya nini kwanza tech ya sasa ni kuharibu shoo ya nyumba kwa kuwekaweka maungo.Bado ninaamini star time ni kimbilio la wanyonge.Watakacho kifanya ni kuweka vipindi vichache vya mpira na vipindi kibao vya ile dini yetu.Tuone kama watafanya equity kwa kuweka vipindi vya ile dini nyingine

Mawazo hasi tupu!
 
Back
Top Bottom