Bei za Ving'amuzi Azamtv

Bei za Ving'amuzi Azamtv

Hivi tumekuwaje siku hizi. Ni lazima kila kitu tuweke udini hata pasipo stahili. Hii ni mbaya.
 
Nadhani ilikuwa ni ktk kuwapandisha Pressure jamaa wa STAR TYM Lkn hata hivyo km Bei ndo hiyo kweli bado ni nafuu! Issue ni CHANEL gani zilizopo? au ndo kuonyesha LIGI yakiBONGO2! Mpira wa MIGUU unakuwa na Magoli km Mpira wa maGONGO mechi 1 maGOLI 6! Km watakuwa na Chanel za maana! Basi wasubiri miPESA ya waTANGANYIKA2!

Man U na Arsenal ni za Ulaya na Zilicheza mechi moja jumla magoli 10. Unashangaa timu za kibongo mechi moja magoli 6. Jamani tuwe tunafikiria kwanza.
 
Mi nasema nchi inaenda pabaya sana. Udini unaanza kututafuna taratibu bila hata kujijua!
 
The questions is wana package gani?
Wako kimya sana, hawasemi wanaleta nini, watuambie package zao nina nini. Tumeng'ang'ania DSTV sio kwamba tunapenda kukaa huko ........! Yaani ikitokea nafasi ya kutoka ................ni mchomoko wa kufisha mtu .................!
 
Nadhani ilikuwa ni ktk kuwapandisha Pressure jamaa wa STAR TYM Lkn hata hivyo km Bei ndo hiyo kweli bado ni nafuu! Issue ni CHANEL gani zilizopo? au ndo kuonyesha LIGI yakiBONGO2! Mpira wa MIGUU unakuwa na Magoli km Mpira wa maGONGO mechi 1 maGOLI 6! Km watakuwa na Chanel za maana! Basi wasubiri miPESA ya waTANGANYIKA2!

unafuu wake nini??mbona startimes nao wana package ya 10,000/= tu???waseme kuna nini humo wasitutajie bei,watu wanalipa dstv kwasababu ya vilivyomo
 
Ndani ya JF ma great thinker ni wachache, haiwezekani watu kutokwa mapovu kisi hiki kwa mambo ya visimbuzi. Kitu kama haukitaki unaacha tu pasipo kutokwa mapovu. Kahtaan na na wenzako, wawe waislam au wakristo just stop this.
 
unafuu wake nini??mbona startimes nao wana package ya 10,000/= tu???waseme kuna nini humo wasitutajie bei,watu wanalipa dstv kwasababu ya vilivyomo

Ndo 7bu nikasema wakona Package GANI? manake Star tym unaweza kulipa ht elf mbili Sema wanpunguza baadh ya chanel Ht dstv wanayo Elf 16.500 so 2nataka watuambie wametuletea nini Binafsi nilishindwa kununua cha CONTINENTAL cz wanahmiza nikizuri lkn ukiwauliza kuna nn Wanakutajia chanel chache! wanakwambia zitaongezwa zp hawasem
 
Tuliokuwa tunasubiri kwa hamu ving'amuzi vya azam tv bei ni kama ifatavyo;Dish,king'amuzi na remote ni shilingi 95000tu pamoja na ufundi.na gharama ya kila mwezi ni shilingi 12500/=Enjoy it!


Sasa mkuu mbona taarifa yako haijitosherezi?

Ulitakiwa utupatie wanajamvi taarifa kamili; kama vile lacal channels zinazorushwa na king'amzi hicho, international channels lakini vile vile channels za michezo kwa ujumla.

Sasa wewe unakuja ghafla na kupotea, utadhani umeme wa Tanesco
Rudi utuhabalishe tafadhari!!!!!!
 
Back
Top Bottom