Bei za magari

Bei za magari

Habari wana Jf nahitaji kujuwa bei za magari
Vs zile za wabunge bei gani
V8
Lend lover
Plado nk„„„„„„„„„
kusema cha ukweli tembelea mayadi ya magari au mitandao kama vile be forward ili kupunguza mbu humu
 
Duh hiyo noah au corolla tena hybrid
Screenshot_2016-10-22-15-00-37.png
 
Hapana. Noah ni 20mk/L.NaVX normally ni 14kms/L mkuu. Nakwambia hivyo maana nimeendesha hizo gari. Pia si kweli eti ukubwa wa CC ndio ulaji wa mafuta.
Gari zenu mnaziwekaje, nna sr40 , inatumia 5. 5 kwa ltin town palipo na maxum spid 40 kmper h
 
Back
Top Bottom