Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,026
- 59,662
Plado lend lover...
Hata kayumba wana afadhali
Hata kayumba wana afadhali
kusema cha ukweli tembelea mayadi ya magari au mitandao kama vile be forward ili kupunguza mbu humuHabari wana Jf nahitaji kujuwa bei za magari
Vs zile za wabunge bei gani
V8
Lend lover
Plado nk„„„„„„„„„![]()
![]()
![]()
![]()
Duh hiyo noah au corolla tena hybrid
Iyeee usithubutu ulaji wamafuta niwahali ya juu sana unatakiwa uwe na mtonyo wakutosha cio wakuunga ungana ulaji wa mafuta upo vp l/km
Wapi hapoLeo nmepita mahala nakuta magari yanauzwa mpaka million 3, aisee au ni kwa sababu ya hali ngumu
Gari zenu mnaziwekaje, nna sr40 , inatumia 5. 5 kwa ltin town palipo na maxum spid 40 kmper hHapana. Noah ni 20mk/L.NaVX normally ni 14kms/L mkuu. Nakwambia hivyo maana nimeendesha hizo gari. Pia si kweli eti ukubwa wa CC ndio ulaji wa mafuta.