Daz911
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 730
- 1,208
mkuu, Attach pdf, ASAP.Bei za mafuta zimepanda tena, hii inaashiria kuendelea kuongezeka kwa gharama za maisha
Pengine kwenye soko la dunia bei imeongezeka Ila serikali isingeongeza kodi kwenye mafuta kwenye hii bajeti mpya basi Bei zingekuwa kidogo afadhali.
Sikujua kwa nini serikali iliongeza kodi kwenye mafuta ikiwa wanajua uchumi uliharibiwa na jnaga la corona.
View attachment 1878501View attachment 1878502View attachment 1878503View attachment 1878504
kama utaweza mda huu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app