Bei za mafuta Zapanda tena

Mimi binafsi naungana na serikali katika kuhakikisha kila mtanzania anawajibika kulipa Kodi na kuliletea maendeleo taifa lake,hatuwezi kuwa taifa la watu wanaopenda kulalamika kwa kila kitu,kikubwa tozo husika zitumike kuleta maendeleo
 
Dr wa uchumi aliambiwa hili kuwa bei zitapanda baada ya mafuta kupanda bei kwenye soko la dunia jibu alilitoa, hata mimi mwenye degree ya uchumi ya kuunga kwa super glue nilijua jamaa hajui anachoongea.
Aisee hii nchi watu wa madegree ambayo hayana maana.
Elimu ya makaratasi haijamsaidia Dr...hii serikali ya awamu hii hovyo kabisa maisha yanazidi kuwa magumu kwa kila kitu
 
Anachotufanyia bimkubwa ni kama umuokota mdada mwenye make up usiku tena ukiwa na akili za pombe na za genye juu.. Asubuhi ukiamka ndio unaanza kupata picha kamili..

Maji tutaita mma mwaka huu.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom