Mchapakazi sana
Member
- May 30, 2015
- 31
- 3
Habar za mihangaiko ndugu zangu??
Nilikuwa naomba kujua bei za vyakula kama maharage, nyanya, mchele na viazi ulaya katika soko kuu la lushoto, mm nipo dar nataka nifanye biashara ya kutoa vyakula lushoto kuleta dar hvyo mwenye kujua bei au mwenyeji wa uko na mkulima anijuze bei.
nawasilisha
Nilikuwa naomba kujua bei za vyakula kama maharage, nyanya, mchele na viazi ulaya katika soko kuu la lushoto, mm nipo dar nataka nifanye biashara ya kutoa vyakula lushoto kuleta dar hvyo mwenye kujua bei au mwenyeji wa uko na mkulima anijuze bei.
nawasilisha