Real Patriotist
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 284
- 687
Leo hii kujenga nyumba kwa ajili ya makazi ni anasa" kwasababu ya ughari wa materials. Nyumba ya kawaida vyumba vitatu tu inakugharimu zaidi ya 25-30m ikiwa na finishing standard sasa hesabu tu kwa mtumishi wa kawaida wa serikali wa ngazi ya batchelor anayelipwa mshahara wa Tshs. 700,000/- kabla hajakatwa unadhani ataweza kujenga nyumba hii kwa muda gani kama sio mpaka astaafu hajamaliza nyumba hii. Achilia mbali wengi wa watanzania ambao vipato vyao ni unga unga mwana.