Bei ya unga yapaa

Naenda kijijin kulima

~Kama kilo 5 ilikuwa 3500/= basi kilo moja ilikuwa 700/= na siyo 1000/= kama ulivyosema


~ Kwa sasa kama kilo 5 imepanda hadi kufikia 6000/= basi kilo moja itakuwa 1200/= na siyo 1400/= kama ulivyosema.

Now which is which!
 
hapo kwenye sembe ndio hatari zaidi ,,sukari wengine hawatumii.sasa wote lazima tutaisoma namba.
 
mtoa mada kuna baadhi ya figure umeongeza chumvi! usipotoshe ukweli na kufanya maisha yaonekane utakavyo!....ANDIKA UKWELI
 
Maisha yamepanda haraka sana, hapo bado bei ya mchele tutegemee kupaa zaidi mwezi ujao.
Hujakaa sawa january hiyo unatakiwa ada ya watoto.😛😛
 
Reli ya kati kukamilika ifikapo 2020,
unga utakuwa mwingi,vuteni subira
 
Zimepanda pengine ni msimu wa sikukuu, nadhani hii ni habari njema kwa wakulima wanaolia bei za mazao yao haiendani na kazi wanayofanya
Pia watu wengi watavutiwa kulima pia

Sijui mila na desturi za watu wote hasa vijijini ila kwenye sikukuu za kidini mbali na mwaka mpya mchele ndio unahitajika sana kuliko unga.
 
Mpaka sasa tumefikia square root ama kipeuo cha pili. na tukitoka hapo... tunaingia logarithim.. mpaka somo lipande
Kipeuo cha pili tushakimalza tupo log ndo tupambana nayo tuishnd lakin wap
 
Sijui mila na desturi za watu wote hasa vijijini ila kwenye sikukuu za kidini mbali na mwaka mpya mchele ndio unahitajika sana kuliko unga.
basi sasa hivi watu wnanunua unga sana, sikukuu watanunua mchele ndio maana unga unapanda
 
Kwa miaka 10, kwa speed hii yule Bwana hawezi toboa lazima atadabishwa aisei..!
 
Tutakula kwa macho mwaka huu "hivi Marais si huwa hawafi njaa"?
 
Zimepanda pengine ni msimu wa sikukuu, nadhani hii ni habari njema kwa wakulima wanaolia bei za mazao yao haiendani na kazi wanayofanya
Pia watu wengi watavutiwa kulima pia
Tutasema sana lakini sababu moja tu... ukufuli bhasiiiii
 


Hata ifikie 100 000/- lkn Pombe Magufuli (PhD) ni Raisi wa JMTZ mpaka 2025 panapo majaliwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…