Northern empire
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 358
- 459
Habari zenu wadau . yaani nashindwa kuelewa mpaka sasa hii bei ya umeme Kigoma ni hapahapa Kigoma au Tanzania nzima .
Sasa hivi huku Kigoma wale ambao walikuwa wanatumia matumizi ya kawaida wote wamepandishwa kwenda matumizi ya juu.
Mfano kipindi cha nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa elfu mbili napata unit 16.4 ila katika kipindi hiki tangia korona hii ianze elfu mbili napata unit 5.7 . yaan sijui kwanini au na mikoa mingine imepanda bei hii ya umeme?
Naona sasa tunaanza kurudi kwenye sola maana hali imekuwa ngum mno
Sasa hivi huku Kigoma wale ambao walikuwa wanatumia matumizi ya kawaida wote wamepandishwa kwenda matumizi ya juu.
Mfano kipindi cha nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa elfu mbili napata unit 16.4 ila katika kipindi hiki tangia korona hii ianze elfu mbili napata unit 5.7 . yaan sijui kwanini au na mikoa mingine imepanda bei hii ya umeme?
Naona sasa tunaanza kurudi kwenye sola maana hali imekuwa ngum mno