Bei ya sukari yapaa tena

Sukari imefichwa wapi ilikuwa ni kutapatapa tu, nchi yetu hakuna atayeingia akatimiza anayosema, kabla ya kuingia ahadi nyiingi mtu akishaapishwa tu akiingia jumba jeupe anaanza vitu vingine kabisaaaa! So tumezoea tu sasa!
 
Na hapo bado namba hazijakolea,tutazidi kusoma namba baada ya miaka mitatu
 
Robo ni 600,Nusu 1200 itakuwa tunarudi enzi zile za mababu zetu asubuhi hakuna kunywa chai
 
Tamko la nini bei inasimamiwa na market forces supply and demand
 
Na kuhusu kuziba pengo ili supply izuie bei kupanda hakuihitaji tamko la serikali? Au wewe ni diabetic?
Wewe sio mchumi maana wakati ule uagizaji wa sukari toka nje ulipokatazwa (supply ilikuwa low) bei ilipanda sana mbali na matamko ya serikali na kusaka magodouni ya watu bei haikushuka kwa sababu supply ilikuwa kidogo kuliko demand anyway unaweza usielewe subiri tamko ili bei ishuke

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
 
Amekaa kmya kma hajui sukari haikamatiki madukani sasa iv
 
Kawaida kila miaka ukaribiapo mfungo wa mwezi wa ramadhani wafanyabiashara huficha sukari na kupandisha bei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…