Bei ya Sukari mfupa ulioishinda serikali!

Bei ya Sukari mfupa ulioishinda serikali!

Toka bei elekezi imetoka maeneo mengi bei ya sukari ni Tsh 2000/=kwa kilo.Hayo mengine porojo za wapinzani waliokosa agenda ya kusimamia wamebaki Kuwa wa kuwa watu wanaondeshwa na matukio,majungu fitisha uchonganishi na kutetea mafisadi.Tutakuta 2020 uzuri wananchi wanaelewa nini serikali yao inafanya.
Bei elekezi ni shilingi ngapi kwan ndugu au ndo umetoka kuamka au ni elfu 2 mana cjakuelewa ebu niweke sawa
 
Upo wapi huko wanapouza 1800 kilo tukuagizie nasisi tununue man huk kwet 2400 sasa pia ni vyema ukakosoa kwa kutoa mifano sio kejeli zisizo na mpango great thinker jibu kwa hja sio matusi
#sumbawanga moja
Segerea mwisho tumenunua leo sh. 2000 sukari ya kilombero
 
Kuna vijana wanakaa kwenye korido za Lumumba kila asubuhi wanakinga buku 7 kwaajili ya kutetea chama chao mbaya zaidi ndg zao wanakufa njaa huko vijijini na hawaamini ukiwaambia JPM anajisaidia kama wanadamu wengine wao wanaamini anakunya KEKI inayo nukia kama choculate
 
Mtoa mADA anapiga STORY tu, hajui undani wa suala hili la Sukari.

Sukari ipo ya kutosha ila bei elekezi haiendani na gharama za uzalishaji (production Cost) ambazo ni kati ya Tshs. 1,600/= na (Ex-Factory) kabla ya usafirishaji na vikodi lukuki ni Tshs. 1,700/=.

Nipe hesabu ya bei ilekezi kwa mlaji itakuwaje Tshs. 1,800/=?
Mi naona tatizo si mleta mada tatizo ni wale waliotoa being elekezi bila kufanya utafiti kwa wazalishaji
 
Huku kwetu kwa sasa maduka mengi hayana sukari,ukitaka sukari unatembea kitambo kidogo na ukiipata bei ni 2000/-hadi 2200/-
 
Saa zingine ni watu wanaojisemeaga tu imagine swala jepesi kama hesabu za total cost linawashinda hawa kweli wanaweza sera za estimators zinazotaka manipulation ya kodi na investment kutatua matatizo.

Tatizo ni uwezo wa viongozi, watu sio wajinga kuingiza sukari ya magendo wanajua uwezo wa watanzania na bei ya chini ndio uwezo wa wengi kumudu badala ya wao kwanza kuhakikisha wanakuja na sera za gharama za uzalishaji zinashuka wanaleta porojo.
 
Hawa wakuu wa mikoa anaowapa majukumu hayo na maded hawawezi kusimamia akitakacho. Hili litamshinda. Kwetu pia bado inauzwa 2200/=
Mkuu kwa mtazamo wangu ajitafakari upya, km mkuu wa kaya anasema jambo halitekelezeki nini maana? Yeye Na mawaziri wake kauli zao zinakinzana Na si Mara moja, anatoa maelekezo ya jqmbo fulan baada ya muda linakanushwa, ishara mbaya
 
Mkuu kwa mtazamo wangu ajitafakari upya, km mkuu wa kaya anasema jambo halitekelezeki nini maana? Yeye Na mawaziri wake kauli zao zinakinzana Na si Mara moja, anatoa maelekezo ya jqmbo fulan baada ya muda linakanushwa, ishara mbaya
Kama jambo gani?
Au issue ya NIDA
 
Toka bei elekezi imetoka maeneo mengi bei ya sukari ni Tsh 2000/=kwa kilo.Hayo mengine porojo za wapinzani waliokosa agenda ya kusimamia wamebaki Kuwa wa kuwa watu wanaondeshwa na matukio,majungu fitisha uchonganishi na kutetea mafisadi.Tutakuta 2020 uzuri wananchi wanaelewa nini serikali yao inafanya.
1,Ada elekezi Shule binafsi,2 Katiba Mpya3,Time huru ya uchaguzi4_Mfumuko wa bei_5 Kutumbua jipu La Zanzibar
 
Mtoa mADA anapiga STORY tu, hajui undani wa suala hili la Sukari.

Sukari ipo ya kutosha ila bei elekezi haiendani na gharama za uzalishaji (production Cost) ambazo ni kati ya Tshs. 1,600/= na (Ex-Factory) kabla ya usafirishaji na vikodi lukuki ni Tshs. 1,700/=.

Nipe hesabu ya bei ilekezi kwa mlaji itakuwaje Tshs. 1,800/=?
Tatizo sio mtoa mada yeye amerefer Agizo la serikali, serikali ndio ilitoa bei elekezi ya 1800/= hayo maswali yako yaelekeze kwa serikali inawezekana ulikua nje ya nchi ndio umerudi.
 
Wamekazana eti tuwaombee,tuwaombee kwa lipi? Sukari na nauli vimewashinda halafu tuwaombee? wajiombee wao wenyewe na familia zao
 
mkuu kama hautakuwa na mtindio, utakuwa mnufaikaji wa hii kitu, mbona m nanunua tsh 1800, au umemwa, kupima upepo? hapa kazi inawakurupua, nw kuishi kiujanja ujanja no...
Kwenye ukweli tuuseme, sukari ya Tsh 1800 haipo labda kwenu nyinyi
 
mkuu kama hautakuwa na mtindio, utakuwa mnufaikaji wa hii kitu, mbona m nanunua tsh 1800, au umemwa, kupima upepo? hapa kazi inawakurupua, nw kuishi kiujanja ujanja no...
hivi umetumwa na Nan wew.? Wap sukar 1800?
 
MAHANJU,

...Tatizo si bei ya sukari. Kipato cha wengi ni kidogo kumudu mahitaji ya muhimu ya kila siku. Challenge kubwa tuliyonayo kama Taifa ni kuinua kipato cha wengi. Ndio maana inaonekana bei ni kubwa. Si kubwa, kama unazingatia gharama za uzalishaji, kodi, usafirishaji, n.k.

...Bei elekezi zina manufaa zaidi kwa bidhaa ambazo ni muhimu katika shughuli za kiuchumi, kama mafuta. Lengo ni kutoathiri shughuli za kiuchumi na maendeleo, kwa kusababisha ongezeko lisilo la lazima, kwenye bei ya bidhaa na huduma -pengine kupelekea mfumuko wa bei- kwa ujumla kwenye uchumi.

...Kwenye bidhaa hizi za mlaji, ukiweka bei elekezi ukakosea kidogo tu, utaharibu soko lote la bidhaa hiyo. Mzalishaji anaweza akaanza kupoteza faida, mfanyabiashara akakosa faida, na hatimae kukaanza kuwapo uhaba kutokana na uzalishaji na biashara kushuka. Tukumbuke enzi ya Ugawaji, na tujifunze.

...Bei za vitu mbalimbali zinalalamikiwa na wananchi, na hasa vipindi vya sikukuu. Ukweli ni kuwa, vipato vya wengi ni vidogo, na hilo ndio tatizo. Sio bei ya bidhaa. Bei nyingi hufuata hali ya soko -demand and supply- na kuna namna ya kuzishusha -in this case, sugar- bila kuweka bei elekezi.
 
Back
Top Bottom