kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,033
Xperia m inaweza kumfaaHiyo nyengeni nzuri ni ipi? Mm sizijui sony ila bei yake isizidi laki tatu
Xperia m inaweza kumfaaHiyo nyengeni nzuri ni ipi? Mm sizijui sony ila bei yake isizidi laki tatu
Hiyo sh ngap dukani?Xperia m inaweza kumfaa
hii ni yakizamani mkuu?![]()
Sina uhakika sana na bei..unaweza pita dukan ukaangalia bei zake..sidhan kama itazid hiyo laki 3Hiyo sh ngap dukani?
Eti pia kuna sony 21 na 22?Sina uhakika sana na bei..unaweza pita dukan ukaangalia bei zake..sidhan kama itazid hiyo laki 3
NdioEti pia kuna sony 21 na 22?
Bei zipoje?Ndio
Kawaida tu..chakufanya nenda kupatana.com kisha search simu unayotaka utaona bei zake zina range vipi...utakuà familiar na bei za simu unazozitaka.Bei zipoje?
Sawa ngoja nifanye hivyoKawaida tu..chakufanya nenda kupatana.com kisha search simu unayotaka utaona bei zake zina range vipi...utakuà familiar na bei za simu unazozitaka.