Kudadadeki nchi inaelekea wapi hii.Wadau leo mchele umefika 3,000 kwa kilo, tunaelekea wapi?
Mchele wa mdundiko ni mchele gani huo?Tuinaiomba serikali irejeshe mchele wa Mdundiko
Tuingie barabaranTuingie kwenye diet sasa ya lazima
Ova
Umaskini mbaya sana!, ni sisi watu wa hali ya chini nd tunaoumia, wao na matoto yao wame relax wakila keki ya taifa na huku wakizidi kutunga sheria kandamiz dhidi yetu, kikubwa wanachoangaliw wao ni sheria zitakazokuwa na manufaa kwao
Kweli Tozonia changamoto