Kabembe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2009
- 2,586
- 1,792
Umeandika kwa mikogo na matusi as if TZ government as shown a road map or atleast succeed revamp one sector which can be taken as example. Hayo makelele na matamko yote ysnayofanywa na hao wanaojinasibu kuwa ni vichaa si mkakati thabiti wa kuijenga na kuinua sector ya ufugaji bali ni virungu tu ili ionekane watu wako shughulini.Tatizo lako huoni picha kubwa, look at the big picture, tunachofanya kwa sasa ni kuvunja ile ' vicious cycle'. Tutakapoweka hivi vikwazo ni kwamba watu wengi sasa watahamasika kufuga kisasa (Zero grazing) ili kuweza kuziba pengo kubwa litakalojitokeza (demand ndio asset kubwa iliyopo),kweli mwanzoni tutaumia kwani kutatokea upungufu mkubwa wa maziwa na yalipo yatauza bei kubwa sana ( demand vs supply) na bila shaka kila mti mwenye mtaji atavutiwa sasa kujitosa katika ufugaji bora wa kisasa ( sio wa kienyeji) ambao utazalisha maziwa bora na kwa wingi ili kuzina pengo kwenye soko, kiwango cha supply na demand kikisha stabilize basi bei itashuka na tutakuwa 1.) tumeongeza ajira kwa kiasi kikubwa 2.) Tutakuwa tumeokoa hizo bilionj 160 pesa ya kigeni kuagiza maziwa 3.) Tutaongeza ukusanyaji wa kodi 4.) Tutapunguza utapiamlo kwa watoto 5.) Uchumi kwa ujumla wake utakuwa. Hivi mnawekaga konokono humo vichwani au huwa mnajitoa akili kwa makusudi?
Serikali lazima kwanza ihakikishe upatikanaji wa maziwa as raw material kwa kuhamasisha uanzishwaji wa vikundi/ushirika wa wafugaji kama ilivyokuwa miaka ya nyuma na kuwapatia mikopo na pembejeo ili kuwavutia hata mtu mmoja mmoja kufuga at a family level. Tunakaa na kujidanganya kwamba maziwa raw ni mengi ilhali processors wanaangaika kupata maziwa. Mashine ndogo tu ya kuproccess UHT inahitaji lita 500,000 kwa siku ili upate faida. We usione akina Azam wanakoroga powder ukafikiri wanapenda, kodi ya kuingiza powder milk sio mchezo.