Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
:mad2::mad2:
Wadau, bei ya MAfuta (Petroli, Dizeli na Mafuta ya taa) zimepanda kinyama. Yaani Dizeli imefika hadi shs 1650/- kwa lita kutoka shs 1500/-, Petroli imefika shs 1,700/- kutoka shsn1,600/- kwa mwendo huu tutafika? Hapo tutegemee mfumuko mkubwa wa bei maana shilingi yetu nayo iko ICU. Ni bora tu-adopt kutumia dola kam Zimbabwe, pengine tutaweza kupata kaunafuu.
Wadau, bei ya MAfuta (Petroli, Dizeli na Mafuta ya taa) zimepanda kinyama. Yaani Dizeli imefika hadi shs 1650/- kwa lita kutoka shs 1500/-, Petroli imefika shs 1,700/- kutoka shsn1,600/- kwa mwendo huu tutafika? Hapo tutegemee mfumuko mkubwa wa bei maana shilingi yetu nayo iko ICU. Ni bora tu-adopt kutumia dola kam Zimbabwe, pengine tutaweza kupata kaunafuu.